Bila upinzani, Tanzania ingekuwa zaidi ya Japan kiuchumi

My Son drink water

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
4,932
13,283
Wapinzani ni watu hatari mno kwa maendeleo ya taifa letu Tanzania.
Ndo maana tumeamua kuwapiga Vita kwa nguvu zetu zote.

Nyie mtakuwa mnawafukuza huko bungeni ambako wana immunity ya kubwabwaja hovyo ila wakija huku nje tunawadaka na kuwashughulikia ipasavyo.

Bila upinzani hata ACACIA wasingefunga migodi na kuwafanya watanzania zaidi ya 3,000 kuwa ma jobless na kuikosesha serikali kodi ya zaidi ya sh bilioni 18 na kutowesha kwenye mzunguko pesa zaidi ya sh BIL 20 kila mwezi.

Wapinzani kwa wingi wao bungeni waliridhia mikataba mibovu ya madini inayolinyonya taifa.

Ni wapinzani hawa hawa walipitisha mswaada wa hati ya dharura uwe sheria juu ya gesi, gesi ambayo Urusi wanaitumia kama fimbo ya kiuchumi juu ya mahasimu wao ulaya.
Bila upinzani Tanzania ingekuwa na viwanda vingi tu zaidi ya Kenya.

Bila upinzani tungekuwa na Elimu nzuri mno na teknolojia yetu wenyewe.
Bila upinzani tusingekuwa na nyumba za tope na nyasi.

Bila upinzani pesa yetu ingekuwa na thamani kubwa Sana.
Bila upinzani tembo wetu wasingeisha vile.
Bila upinzani Tanzania ingekuwa donor.

Bila upinzani watu wasingepotea na kukatwa mapanga na kuuawa na watu wasiojulikana.
Bila upinzani Ndege yetu isingeshikiliwa Canada.
Kifupi ni kwamba Upinzani ni adui wa maendeleo yetu watanzania.
Nina uhakika kuwa bila upinzani tungekuwa na uchumi mzuri kuliko Japan.
Sheria ipitishwe bungeni kufuta upinzani ili tusonge mbele kimaendeleo.
 
Acha kujidanganya, fanya utafiti kabla ya kuandika.

Kuna makala inaitwa “The Princes of Yen” inazungumzia jinsi Japan ilivyofika hapo ilipo kiuchumi.
c68ab036941502a1f8439c5fd312fb93.jpg


Hiyo ni moja kati ya picha nilichukua ukumbusho. Mataifa yote yaliyoendelea kiuchumi ni kwasababu ya wataalamu waliokua kwenye sekta ya mabanki pamoja na biashara (uchumi kwa ujumla pia)

Usiwafanye watanzania wenzako wajinga. Siasa zinaweza kuharibu uchumi ila kuujenga ni nadra sana. Huwezi kuchagua Gavana benki kuu awe mwanasheria! Hili ni kosa la kitaaluma.

Je, tutarajie nini kutoka kwa viongozi wasioheshimu taaluma? Karne ya ishirini na moja bado unawaza “AFRICANISM” are you mad?
 
Acha kujidanganya, fanya utafiti kabla ya kuandika.

Kuna makala inaitwa “The Princes of Yen” inazungumzia jinsi Japan ilivyofika hapo ilipo kiuchumi.
c68ab036941502a1f8439c5fd312fb93.jpg


Hiyo ni moja kati ya picha nilichukua ukumbusho. Mataifa yote yaliyoendelea kiuchumi ni kwasababu ya wataalamu waliokua kwenye sekta ya mabanki pamoja na biashara (uchumi kwa ujumla pia)

Usiwafanye watanzania wenzako wajinga. Siasa zinaweza kuharibu uchumi ila kuujenga ni nadra sana. Huwezi kuchagua Gavana benki kuu awe mwanasheria! Hili ni kosa la kitaaluma.

Je, tutarajie nini kutoka kwa viongozi wasioheshimu taaluma? Karne ya ishirini na moja bado unawaza “AFRICANISM” are you mad?
Mkuu umeshindwa kabisa kuielewa mada yangu?
Hebu rudia tena kuisoma kisha kaa chini utafakari,siamini kama kweli hujanielewa au jiwe la gizani limekupata.
 
Mkuu umeshindwa kabisa kuielewa mada yangu?
Hebu rudia tena kuisoma kisha kaa chini utafakari,siamini kama kweli hujanielewa au jiwe la gizani limekupata.

Nilijikita kuongelea uchumi, sitasema lolote kuhusu madai yako kuhusu upinzani.

Wewe hujanielewa, uchumi wa japani unaosema tungekua tumeuzidi haufungamani mahali popote na siasa!

Bahati mbaya zaidi umetumia mantiki hii kuwa kichwa cha uzi.
 
Nilijikita kuongelea uchumi, sitasema lolote kuhusu madai yako kuhusu upinzani.

Wewe hujanielewa, uchumi wa japani unaosema tungekua tumeuzidi haufungamani mahali popote na siasa!

Bahati mbaya zaidi umetumia mantiki hii kuwa kichwa cha uzi.
Duh bado hujaelewa huu uzi mkuu, hii mada ni vice-versa kwani wapinzani ni kweli wapo wengi bungeni?
Pamoja na yote siasa huchangia maendeleo 65% hasa siasa bora.
Hakuna taifa la kidikteta duniani lenye maendeleo makubwa kuzidi la kidemokrasia.
Wachina wamejitahidi Sana ila bado pia
 
Wapinzani ni watu hatari mno kwa maendeleo ya taifa letu Tanzania.
Ndo maana tumeamua kuwapiga Vita kwa nguvu zetu zote.
Nyie mtakuwa mnawafukuza huko bungeni ambako wana immunity ya kubwabwaja hovyo ila wakija huku nje tunawadaka na kuwashughulikia ipasavyo.
Bila upinzani hata ACACIA wasingefunga migodi na kuwafanya watanzania zaidi ya 3,000 kuwa ma jobless na kuikosesha serikali kodi ya zaidi ya sh bilioni 18 na kutowesha kwenye mzunguko pesa zaidi ya sh BIL 20 kila mwezi.
Wapinzani kwa wingi wao bungeni waliridhia mikataba mibovu ya madini inayolinyonya taifa.
Ni wapinzani hawa hawa walipitisha mswaada wa hati ya dharura uwe sheria juu ya gesi,gesi ambayo Urusi wanaitumia kama fimbo ya kiuchumi juu ya mahasimu wao ulaya.
Bila upinzani Tanzania ingekuwa na viwanda vingi tu zaidi ya Kenya.
Bila upinzani tungekuwa na Elimu nzuri mno na teknolojia yetu wenyewe.
Bila upinzani tusingekuwa na nyumba za tope na nyasi.
Bila upinzani pesa yetu ingekuwa na thamani kubwa Sana.
Bila upinzani tembo wetu wasingeisha vile.
Bila upinzani Tanzania ingekuwa donor.
Bila upinzani watu wasingepotea na kukatwa mapanga na kuuawa na watu wasiojulikana.
Bila upinzani Ndege yetu isingeshikiliwa Canada.
Kifupi ni kwamba Upinzani ni adui wa maendeleo yetu watanzania.
Nina uhakika kuwa bila upinzani tungekuwa na uchumi mzuri kuliko Japan.
Sheria ipitishwe bungeni kufuta upinzani ili tusonge mbele kimaendeleo.
Yaani umeongea ujinga mkubwa sana huu Asee! Ivi una akili timamu kweli wewe??
 
Ukitaka kufahamu ni wangapi wanasoma mada nzima na kuilewa angalia michango ya watu.
Watu wataandika theories kibao kupitia kichwa cha habar bila hata kusoma maudhui ya mada.
CCM wanayafanya haya yote wakijua wana mtaji mkubwa sana waliowekeza kwa Watanzania ''UJINGA''
Leo hii CCM wakisema wapinzani ndio chanzo cha umasikini nchini wanaeleweka kabisa kwa Watanzania ambao ccm imewekeza ujinga ndani yake.
 
Wapinzani ni watu hatari mno kwa maendeleo ya taifa letu Tanzania.
Ndo maana tumeamua kuwapiga Vita kwa nguvu zetu zote.
Nyie mtakuwa mnawafukuza huko bungeni ambako wana immunity ya kubwabwaja hovyo ila wakija huku nje tunawadaka na kuwashughulikia ipasavyo.
Bila upinzani hata ACACIA wasingefunga migodi na kuwafanya watanzania zaidi ya 3,000 kuwa ma jobless na kuikosesha serikali kodi ya zaidi ya sh bilioni 18 na kutowesha kwenye mzunguko pesa zaidi ya sh BIL 20 kila mwezi.
Wapinzani kwa wingi wao bungeni waliridhia mikataba mibovu ya madini inayolinyonya taifa.
Ni wapinzani hawa hawa walipitisha mswaada wa hati ya dharura uwe sheria juu ya gesi,gesi ambayo Urusi wanaitumia kama fimbo ya kiuchumi juu ya mahasimu wao ulaya.
Bila upinzani Tanzania ingekuwa na viwanda vingi tu zaidi ya Kenya.
Bila upinzani tungekuwa na Elimu nzuri mno na teknolojia yetu wenyewe.
Bila upinzani tusingekuwa na nyumba za tope na nyasi.
Bila upinzani pesa yetu ingekuwa na thamani kubwa Sana.
Bila upinzani tembo wetu wasingeisha vile.
Bila upinzani Tanzania ingekuwa donor.
Bila upinzani watu wasingepotea na kukatwa mapanga na kuuawa na watu wasiojulikana.
Bila upinzani Ndege yetu isingeshikiliwa Canada.
Kifupi ni kwamba Upinzani ni adui wa maendeleo yetu watanzania.
Nina uhakika kuwa bila upinzani tungekuwa na uchumi mzuri kuliko Japan.
Sheria ipitishwe bungeni kufuta upinzani ili tusonge mbele kimaendeleo.

Ndio maana Zimbabwe imeendelea kama Japan
 
Hahaha kweli upinzani wabaya sana, bila upinzani Lowassa asingeenguliwa ccm na kugombea cdm, bila upinzani tusinge nyimwa kuangalia bunge live, bilaB upinzani kamati ya makinikia chini ya kabudi wasingejificha kufanya mikutano miazi mitatu, bila upinzani hata mil 300 kishika uchumba tusingekipata. Bila upinzani reli ya standard gauge tungejenga kwa pesa zetu wenyewe.
 
Msome kwa kituo Mkuu. You’re on the same page.

Acha kujidanganya, fanya utafiti kabla ya kuandika.

Kuna makala inaitwa “The Princes of Yen” inazungumzia jinsi Japan ilivyofika hapo ilipo kiuchumi.
c68ab036941502a1f8439c5fd312fb93.jpg


Hiyo ni moja kati ya picha nilichukua ukumbusho. Mataifa yote yaliyoendelea kiuchumi ni kwasababu ya wataalamu waliokua kwenye sekta ya mabanki pamoja na biashara (uchumi kwa ujumla pia)

Usiwafanye watanzania wenzako wajinga. Siasa zinaweza kuharibu uchumi ila kuujenga ni nadra sana. Huwezi kuchagua Gavana benki kuu awe mwanasheria! Hili ni kosa la kitaaluma.

Je, tutarajie nini kutoka kwa viongozi wasioheshimu taaluma? Karne ya ishirini na moja bado unawaza “AFRICANISM” are you mad?
 
Wapinzani ni watu hatari mno kwa maendeleo ya taifa letu Tanzania.
Ndo maana tumeamua kuwapiga Vita kwa nguvu zetu zote.
Nyie mtakuwa mnawafukuza huko bungeni ambako wana immunity ya kubwabwaja hovyo ila wakija huku nje tunawadaka na kuwashughulikia ipasavyo.
Bila upinzani hata ACACIA wasingefunga migodi na kuwafanya watanzania zaidi ya 3,000 kuwa ma jobless na kuikosesha serikali kodi ya zaidi ya sh bilioni 18 na kutowesha kwenye mzunguko pesa zaidi ya sh BIL 20 kila mwezi.
Wapinzani kwa wingi wao bungeni waliridhia mikataba mibovu ya madini inayolinyonya taifa.
Ni wapinzani hawa hawa walipitisha mswaada wa hati ya dharura uwe sheria juu ya gesi,gesi ambayo Urusi wanaitumia kama fimbo ya kiuchumi juu ya mahasimu wao ulaya.
Bila upinzani Tanzania ingekuwa na viwanda vingi tu zaidi ya Kenya.
Bila upinzani tungekuwa na Elimu nzuri mno na teknolojia yetu wenyewe.
Bila upinzani tusingekuwa na nyumba za tope na nyasi.
Bila upinzani pesa yetu ingekuwa na thamani kubwa Sana.
Bila upinzani tembo wetu wasingeisha vile.
Bila upinzani Tanzania ingekuwa donor.
Bila upinzani watu wasingepotea na kukatwa mapanga na kuuawa na watu wasiojulikana.
Bila upinzani Ndege yetu isingeshikiliwa Canada.
Kifupi ni kwamba Upinzani ni adui wa maendeleo yetu watanzania.
Nina uhakika kuwa bila upinzani tungekuwa na uchumi mzuri kuliko Japan.
Sheria ipitishwe bungeni kufuta upinzani ili tusonge mbele kimaendeleo.

Kichaa chako kimefika pabaya inabidi wakuwahishe milembe
 
Wapinzani ni watu hatari mno kwa maendeleo ya taifa letu Tanzania.
Ndo maana tumeamua kuwapiga Vita kwa nguvu zetu zote.
Nyie mtakuwa mnawafukuza huko bungeni ambako wana immunity ya kubwabwaja hovyo ila wakija huku nje tunawadaka na kuwashughulikia ipasavyo.
Bila upinzani hata ACACIA wasingefunga migodi na kuwafanya watanzania zaidi ya 3,000 kuwa ma jobless na kuikosesha serikali kodi ya zaidi ya sh bilioni 18 na kutowesha kwenye mzunguko pesa zaidi ya sh BIL 20 kila mwezi.
Wapinzani kwa wingi wao bungeni waliridhia mikataba mibovu ya madini inayolinyonya taifa.
Ni wapinzani hawa hawa walipitisha mswaada wa hati ya dharura uwe sheria juu ya gesi,gesi ambayo Urusi wanaitumia kama fimbo ya kiuchumi juu ya mahasimu wao ulaya.
Bila upinzani Tanzania ingekuwa na viwanda vingi tu zaidi ya Kenya.
Bila upinzani tungekuwa na Elimu nzuri mno na teknolojia yetu wenyewe.
Bila upinzani tusingekuwa na nyumba za tope na nyasi.
Bila upinzani pesa yetu ingekuwa na thamani kubwa Sana.
Bila upinzani tembo wetu wasingeisha vile.
Bila upinzani Tanzania ingekuwa donor.
Bila upinzani watu wasingepotea na kukatwa mapanga na kuuawa na watu wasiojulikana.
Bila upinzani Ndege yetu isingeshikiliwa Canada.
Kifupi ni kwamba Upinzani ni adui wa maendeleo yetu watanzania.
Nina uhakika kuwa bila upinzani tungekuwa na uchumi mzuri kuliko Japan.
Sheria ipitishwe bungeni kufuta upinzani ili tusonge mbele kimaendeleo.
Bila upinzani bongo ingekuwa kama UK, US na kuipita Japan ambayo viongozi wake huwa wanajiuzuru kila baada ya miaka mitatu kwa kashfa ndogo tu. Bila upinzani gas ingekuwa imeingia majumbani mwa kila mtu ila wao wanaweka kauzibe. Bila upinzani Zanzibar ingekuwa imeshajitawala ila vidomodomo vyao vinakwamisha katiba.
 
Back
Top Bottom