Hakika hiyo mifano hai ulioitoa kuhusu watu waliokuwa wakimdhihaki Mungu, ni lazima iwe na mwendelezo kwa watu wa aina hii... Asante sana kwa mifano yako hai...
Mbn hii nchi inaendeshwa kibabe jamani.... Mbn sijackia kauli yoyote inayofanana na huo uchochezi jamani.... Shame on them [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kwenye taarifa yake amesema kuwa anataka kuwajibu viongozi wakuu wa chadema.... Maana yake ni kwamba anataka kukijibu chama... Sasa cjajua yeye ni kama nani hadi afikie kukijibu chama
Serikali na bunge wanazidi kuumbuka kila kukicha kutokana na ubabe wao usiokuwa na maana.... Na bado, mtaendelea kuumbuka tu.... Mna roho mbaya nyinyi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.