Recent content by mimi mgeni duniani

  1. M

    Namwombea msamaha mheshimiwa Rais kwa Wakristo wote lakini Mungu hadhihakiwi

    Hakika hiyo mifano hai ulioitoa kuhusu watu waliokuwa wakimdhihaki Mungu, ni lazima iwe na mwendelezo kwa watu wa aina hii... Asante sana kwa mifano yako hai...
  2. M

    Orodha ya watu /taasisi/Viongozi wanaotakiwa kulaumiwa kwa kifo cha Aquilina hii hapa

    Rais, mwigulu, NEC, IGP, RPC, mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa na wilaya (RC, DC)
  3. M

    RC Makonda asema hajavunja Katiba kuzuia mabaraza ya kata

    Huyo DAB anajua nini kuhusu sheria.... Katika viongozi wasiojua maana ya uongozi, DAB is among of them
  4. M

    Dr. Wilbrod Peter Slaa unaendelea kujiaibisha na kujidharaulisha kwa kusema uongo

    Unafiki wa DK slaa upo wazi sana... Uongo wa DK slaa pia upo wazi sana.... Jamani, njaa ni mbaya sana
  5. M

    Kulikoni wake za watu wanakuwa maji mara moja?

    Ni kweli kbs, jambo hili lina ukweli kwa asilimia kubwa sana
  6. M

    Jeshi la Polisi: Sheikh Ponda ajisalimishe Polisi ndani ya siku 3, vinginevyo hatokuwa salama

    Ni uchochezi upi uliofanywa na SHEIKH ponda???? Uliisikiliza speech ya SHEIKH ponda [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
  7. M

    Jeshi la Polisi: Sheikh Ponda ajisalimishe Polisi ndani ya siku 3, vinginevyo hatokuwa salama

    Mbn hii nchi inaendeshwa kibabe jamani.... Mbn sijackia kauli yoyote inayofanana na huo uchochezi jamani.... Shame on them [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
  8. M

    Jerry Muro kufanya mkutano na waandishi wa habari Leo saa sita kuwajibu CHADEMA

    Tuhuma za press conference ya jana ya chadema iliilenga serikali ya ccm na sio mtu binafsi
  9. M

    Jerry Muro kufanya mkutano na waandishi wa habari Leo saa sita kuwajibu CHADEMA

    Kwenye taarifa yake amesema kuwa anataka kuwajibu viongozi wakuu wa chadema.... Maana yake ni kwamba anataka kukijibu chama... Sasa cjajua yeye ni kama nani hadi afikie kukijibu chama
  10. M

    Nahitaji msaada, kibamia kinanitesa sana

    Naomba unitafute whatsapp kwa namba hii nikupe njia rahisi na ya haraka 0783566546
  11. M

    Rockstar4000 nyuma ya pazia

    Huyo atakuwa ni Ali kiba tu
  12. M

    Bunge, Serikali wasaka siri za Tundu Lissu

    Serikali na bunge wanazidi kuumbuka kila kukicha kutokana na ubabe wao usiokuwa na maana.... Na bado, mtaendelea kuumbuka tu.... Mna roho mbaya nyinyi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  13. M

    Tatizo la Rais Magufuli ni hili

    Hujakielewa alichokiandika Pascal Mayala
Back
Top Bottom