Mzee wa kurekebisha
Senior Member
- Sep 29, 2012
- 178
- 169
Imefikia hatua nawaogopa sana mabinti warefu na wale wenye maumbo makubwa kwa dhana kuwa nitaumbuka lakini nimegundua hata hawa wafupi habari yao si haba.
Baada ya tendo, wengi wameonesha kunidharau wazi, mmoja amewahi kuniambia
eti iko kama PIRITON.
Najisikia vibaya sana wakuu, kama kuna msaada ninaoweza kuupata lakini gharama
zake zisizidi laki 3 naomba mtu anicheck INBOX.
Baada ya tendo, wengi wameonesha kunidharau wazi, mmoja amewahi kuniambia
eti iko kama PIRITON.
Najisikia vibaya sana wakuu, kama kuna msaada ninaoweza kuupata lakini gharama
zake zisizidi laki 3 naomba mtu anicheck INBOX.