Recent content by Mimi Fulani

  1. Mimi Fulani

    Car4Sale 2005 toyota Rav 4 [dve] Miss tanzania

    Chombo kali inauzwa, ngoja mie nipite mkuuu 🚶🚶
  2. Mimi Fulani

    Wanawake wazuri JF nzima

    Money Penny yuko wapi siku hizi?
  3. Mimi Fulani

    Uzalendo unatafsiriwa vibaya na viongozi wengi wa Afrika!

    Mnatuletea vizungu vyenu ili tusimuunge mkono rais wetu yaan tuache kumuunga mkono rais wetu kafanya juhudi zake mpaka katuletea kupatwa kwa mwezi achen hizo rais wetu mzalendo haswa, :D :D :D :D :D :D
  4. Mimi Fulani

    Ukitaka kufanikiwa katika maisha yako usiwe unamuachia mke wako hela ya matumizi

    Kuna dogo alikanyaga misumali ikamchoma vibaya sana, tumetumia dawa za kila aina hapon sasa nimejua naenda kumtibu kichwa sasa kumbe ndo tatizo liko huko
  5. Mimi Fulani

    Ukitaka kufanikiwa katika maisha yako usiwe unamuachia mke wako hela ya matumizi

    ndio mkuu, hata mm mke wangu nampa yote (dushe) sadaka ya mwanamke ni mgegedo wa kiwango cha SGR
  6. Mimi Fulani

    Jua tofauti za maumbile kwa wanaume

    rudia utafiti wako, na mimi unijumuishe nikunaniliu
  7. Mimi Fulani

    Jua tofauti za maumbile kwa wanaume

    wee utakuwa mfupi harafu una matako sio kwa povu hilo mkuu [emoji23] [emoji23] :D :D :D
  8. Mimi Fulani

    Haya ndo matumizi mazuri ya fedha zetu, tunawalipa Marais wastaafu!

    Nyie endeleen kulaum tu, me namuunga mkono rais wetu kwanza kwa kutuletea kupatwa kwa mwezi [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
  9. Mimi Fulani

    Yaliyojiri kupatwa kwa Mwezi Usiku wa leo July 27-28,2018

    Ahsante Mh. JPM rais wetu kwa kutuletea kupatwa kwa mwezi kwa kweli tunakuunga mkono kwa juhudi zako, sasa sijui utazindulia wapi kupatwa huko kwa mwezi? [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25]
  10. Mimi Fulani

    Msaada namna ya kupata visa ya Australia

    Huko Sweden mkuu waweza pata kazi kirahisi?
  11. Mimi Fulani

    JamiiForums - Maboresho ya mwaka 2018

    me mwenye nashauri hii kitu iwepo kwa store zote, ndg Maxence Melo nimetengeneza app ya JF itakayotumiwa na watu wa simu za kawaida kabisa (java) naomba ruhusa niitupie
  12. Mimi Fulani

    Jirani kalisahau wowowo lake nje

    [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25]
  13. Mimi Fulani

    Zitto: Tunapata maduhuli na si "gawio"

    umeshindwa kucomment mpaka ukaquote uzi wote mkuu?
Back
Top Bottom