Mnatuletea vizungu vyenu ili tusimuunge mkono rais wetu
yaan tuache kumuunga mkono rais wetu kafanya juhudi zake mpaka katuletea kupatwa kwa mwezi
achen hizo rais wetu mzalendo haswa,
:D :D :D :D :D :D
Kuna dogo alikanyaga misumali ikamchoma vibaya sana, tumetumia dawa za kila aina hapon
sasa nimejua naenda kumtibu kichwa sasa kumbe ndo tatizo liko huko
Ahsante Mh. JPM rais wetu kwa kutuletea kupatwa kwa mwezi kwa kweli tunakuunga mkono kwa juhudi zako,
sasa sijui utazindulia wapi kupatwa huko kwa mwezi?
[emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25]
me mwenye nashauri hii kitu iwepo kwa store zote, ndg Maxence Melo nimetengeneza app ya JF itakayotumiwa na watu wa simu za kawaida kabisa (java) naomba ruhusa niitupie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.