habari za leo wanajamvi., samahani naombeni msaada jinsi YA kupata visa ya Australia yaani vitu gani napaswa kuambatanisha? .nimeomba mara ya kwanza nimenyimwa nimeambiwa niseme evidence kwamba nitarud na siwez kuzamia huko sasa sijajua niweke vitu gani.msaada tafadhal
asante
asante