G
Wazungu siku zote nikuona waafrika tukigombana, wanasema Africa hakuna democrasia wao huko kwao democrasia ipo???? Wamekuwa wavurugaji wakubwa wa amani kwenye nchi ndogo ndogo angalia kule uarabuni,afrika magharibi,kasiskazini mwa Africa Libya, China nakadhalika.....wazungu siyo watu...
Sijawahi kucheza BOOMPESA,INSTAMOJA,MOJASPECIAL,BIKOSPORT lakini kutwa kutumiwa sms na madudu hayo jamani mnanikera sana Vodacom
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama BOT kuna billion 6, sasa je Hizo billion 200 zitatoka za kulipa madeni ya nje pamoja na ya waalimu zitatoka wapi???? Au Kuna benk nyingine ya kuhifadhia hela tofauti na Benk kuu???
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.