nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 858
Exactly,tatizo we shtholes tumezoea unafiki na kujipendekeza plus kujikweza,Tutabisha tu lakini trust me anayoyasema trump jukwaani, ndio yaleyale wanayoyasema wazungu kwenye faragha zao. Hapa alichofanya Trump ni kuuondoa unafiki na kuweka mambo wazi. So kama kuna hatua zozote tunazopaswa kuzichukua, si juu ya Trump pekee bali ni jamii yake yote.
WE ARE SHITHOLES
wanaobisha wabishe tumetawaliwa,tumejikomboa bado tunatawaliwa tena chini ya ukoloni mweusi kupitia waafrika wenzetu.
Misaada yote kutoka kwao kujiongoza hatuwezi kwanini tusiwe SHITHOLES?