Recent content by Millitarydoctor

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Hakuna connection so usitoe Rushwa
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Kundi la kwanza ni watu wenye elimu ya secondary.............. la pili wataitwa Wenye Degree .....so mkae rada
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Bado kuna kundi la watu watapigiwa simu wakae tayari
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Hamna cha connection ...barua na vyeti vinahakikiwa kuweni wapole ....kama utahitajika utaitwa ....ni bahati yako tu
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Bado ila muda wowote kuanzia sasa wataitwa ...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tupeane updates za ajira mpya JWTZ 2026

    Tayari....
  7. M

    JamiiForums Tanzania Tupeane updates za ajira mpya JWTZ 2026

    Tayari uko....
  8. M

    JamiiForums Tanzania MUHAS na CUHAS ndio vyuo bora pekee vya Afya Tanzania

    CUHAS hakuna kitu bora hata kairuki, Kwanza wanafunzi wa bugando muache kutembea na clinical Coats mitaani, yaani imefikia hatua unalikuta jitu tena MD5 liko na clinical coat Sokoni linaemea bamia. CUHAS badilikeni acheni ushamba
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Zingatia sana unapoanzisha mahusiano mapya

    Kumbe unauza?? Huyu anaongelea mahusiano ya mapenzi nazani hukuelewa Mada,
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Zingatia sana unapoanzisha mahusiano mapya

    Wanaoilamba wanatoaga iyo mihela? Tuanzie hapo 😀😀
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuwa single mother siyo laana, msiwaseme vibaya

    Bro Una madini sana. Nahisi unasoma sana vitabu
  12. M

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

    Una maana everything we do, and all things we encounter kwenye maisha is pre planned??
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kiroho! jina huathiri maisha ya mtu

    Hii kwa upande mwingine naona inaleta maana maana kuna majina kiukweli huwa yanakua ya kawaida, kwa mfano nina MABULA kwa jamii ya wasukuma hawa watu asilimia kubwa huwa na Mali nyingi. Sijui kwanin??
  14. M

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

    Shukran Mkuu kwa kunipa mwangaza japo sijaelewa swala la ardhi maana sijawahi jihusisha na swala la kilimo wala madini, naomba unisaidie ufafanuzi mkuu.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

    Mkuu mshana Jr, kwanza hongera kwa maarifa mengi uliyo jaaliwa, Naomba unisaidie ivi maana ya ndoto ya kutembea alafu unaokota saa za aina tofauti tofauti, inamaana gani pia ndoto ya. Kila ukichimba chini unatoa sarafu.
Back
Top Bottom