Recent content by millen daniel

  1. M

    Leo mke wangu amenipikia hivi, nimeamua nimpeleke akasome upishi darasani

    Hayo mafuta jmn duuuuuh! Na ndo mana tunatakiwa kujifunza tukiwa makwetu sio kwenye ndoa jmn. Haaaaaa!
  2. M

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Kweli inabid mlale mchana kwakwel
  3. M

    "Baby nikwambie kitu?" Ukitumiwa msg hii usijibu.mzinga

    Jmn sio vzur huenda ana hbr nzuri
  4. M

    Kauli mbaya mbaya uliyowahi kuambiwa na mpenzi wako au ex wako

    Ha ha ha haaaaaaaa lanyoooo poleeeeee!
  5. M

    Wanawake: Kunawa sio kujisafisha

    Uko sawa kabisa ukeni hakupaswi kuingizwa vidole wala hakutakiwi sabuni zenye cemiko eti anasema chokonoa achokonoe yeye atie hiyo milimao yeye hfu mwisho wa cku ataisoma number hana lijualo tucdanganyike!
  6. M

    Maana yake huwa ni nini?

    Kweli mi mwenyewe cjui ina mana gani mtu ufanye kosa badala uombe msamaha unataka uombwe wewe mh!
Back
Top Bottom