Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,441
- 4,093
- Thread starter
- #461
HahaaaaaKilling someone slowly and scientifically. Kama una Mali za kutosha angalia sana.
HahaaaaaKilling someone slowly and scientifically. Kama una Mali za kutosha angalia sana.
We acha tuNa leo tena kakupikia hivyo mkuu? Pole
Hayo mafuta jmn duuuuuh! Na ndo mana tunatakiwa kujifunza tukiwa makwetu sio kwenye ndoa jmn. Haaaaaa!Sijamwambia kama hajui kupika ila nimemtafutia mwalimu wa mapishi kwa gia kwamba akaongeze ujuzi zaid katika mapishiView attachment 752106
Duu mafuta lita 5 afu vipi ayo meupe ni mayai ya kuchemsha au ? Ndo matatizo ya kutumiwa mke kwenye BusSijamwambia kama hajui kupika ila nimemtafutia mwalimu wa mapishi kwa gia kwamba akaongeze ujuzi zaid katika mapishiView attachment 752106
Hamna hahaaHuyo utakua umemtoa iringa
Ni korodani za mbuzi mkuuhahaha
wese la kufa mwanadamu. hivyo vyeupe ni mayai,ngogwe, viazi au korodani za mbuzi...?
Kumbe ndio wewe uliyekaa siti ya mbele yangu nakuona ulivyokuwa unacheka mpaka huyo mama uliyekaa nae anakushangaa.Hahahaha mkuu umenichekesha ....mpaka abiria wenzangu wamenishangaa.
Nahapo mke anamwambia...*wahi chakula hubby*Ahahaaa anamuua taratibu
Wewe ni mgonjwa mtarajiwa Pole SanaSijamwambia kama hajui kupika ila nimemtafutia mwalimu wa mapishi kwa gia kwamba akaongeze ujuzi zaid katika mapishiView attachment 752106
Mapumbu ya mbuzihahaha
wese la kufa mwanadamu. hivyo vyeupe ni mayai,ngogwe, viazi au korodani za mbuzi...?
PoleTafuta hizo Picha kama utaziona, huyo ni my wife tena msomi wa masters
Kumbe nikatabia kake eeeeNa leo tena kakupikia hivyo mkuu? Pole
hahaha
wese la kufa mwanadamu. hivyo vyeupe ni mayai,ngogwe, viazi au korodani za mbuzi...?
Kaweka tena na miyai yake ya kusimama?