We mwandishi ni mpumbavu sana....unaelewa laki sita inaweza kufadhili kitu kinachoweza kusababisha hasara ya mabilioni.....mtu akilipwa laki 1 akalipue matenki pale songas ubungo tutapata hasara kiasi gani? Unadhani ugaidi ni mpaka itajwe bilioni ndo ujue ni ugaidi? Pumbavu kabisa, kama hamajui...
Tatizo la watanzania kila mtu ni Polisi, utamkamataje mtu wakati upelelezi haujakamilika?? Hata kama upelelezi ulikamilika namna ya kumkamata mtuhumiwa ni taaluma pia.....kama huna uelewa wa mambo yaache kama yalivyo wafanye watu waliosomea na wenye taaluma na hizo vitu.
Mtu from nowhere...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.