jamani basi likipata ama kufanya ajali hufungiwa kipindi kesi yake ipo mahakamani, na ikiisha na bima kuchukua nafasi yake katika suala zima la malipo na mengineyo, basi husika hu resume route zake kama kawaida, haina cha mkono wa PM wala nini jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.