Cha Moto
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 945
- 153
WanaJF,
Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa mabasi haya yalisimamishwa na SUMATRA kufanya shughuli zake njia ya Dar - Mbeya, sasa na hii ajali ya hili basi jana kugongana na Prado maeneo ya Al Jazeera, Iringa, imekuwaje? Ina maana yameruhusiwa kuendelea na usafirishaji?
Mwenye taarifa anihabarishe, niweke kumbukumbu sawasawa.
Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa mabasi haya yalisimamishwa na SUMATRA kufanya shughuli zake njia ya Dar - Mbeya, sasa na hii ajali ya hili basi jana kugongana na Prado maeneo ya Al Jazeera, Iringa, imekuwaje? Ina maana yameruhusiwa kuendelea na usafirishaji?
Mwenye taarifa anihabarishe, niweke kumbukumbu sawasawa.