Recent content by Mikopo Chefuchefu

  1. Mikopo Chefuchefu

    UDSM Marathon hiyo Kwio!

    Ulitaka UD wachezeshe watu vigodoro? Michezo yenye staha kama Marathon ndiyo inayotakiwa!
  2. Mikopo Chefuchefu

    Baraza Jipya la Mawaziri 2020: Hizi ndizo kasoro kuu 3 ninazoziona

    Huku kwetu wanasema, mwenye kisu kikali ndiye anayekula nyama... Ukiona wa kuja kapata nyama na wewe uliyemswaga ng'ombe toka maporini umekosa, basi ujue mwenzio ana kisu kikali kukuzidi.. Usinune.. Ndio kanuni ya mchezo.. Kanuni ya mchezo ni mwenye kisu kilali, ale... Badala ya kununa, badili...
  3. Mikopo Chefuchefu

    Nimefurahi sana kwa Askofu Gwajima, Gambo, Kigwangalla na Makonda kukosa Uwaziri

    Ha haa! Santa kalawe imekwisha.. Mwenye kupata kapata, mwenye kukosa kakosa. Kifuatacho ITV ni waliokosa kubeba fito zao wakaangalie ustaarabu mwingine until further notice. So far, kifo cha wengi harusi... Tukutane tena 2025!
  4. Mikopo Chefuchefu

    Tatizo la kuwa na hofu

    Propranolol kidonge kimoja kila siku huenda zikakusaidia kwa tatizo hili.
  5. Mikopo Chefuchefu

    Naomba kufahamu dawa ya kuzuia NDEVU kuota haraka

    Nyoa kwa kutumia magic! Ile inang'oa ndevu hadi kwenye shina!
  6. Mikopo Chefuchefu

    Nimejiunga JF tarehe 01/12/2020 naenjoy Sana

    Umejiunga wakati mzuri, wakati ambapo wana JF wengi wamestaarabika! Ungejiunga zama zile, kuna nyakati ungetamani ardhi ipasuke ili ikumeze kuliko kukutana na shombo za wana JF!
  7. Mikopo Chefuchefu

    Msaada: Wanaotoa magari bandarini kwa kukopesha malipo ya kodi

    Tafuta watu wenye custom bonded warehouse. Unalitoa gari bandarini linaenda kufungiwa huko mpaka upate hela ya kulitoa.
  8. Mikopo Chefuchefu

    Can Dar es Salaam match this kind of luxury?

    Same location taken from multiple angles to magnify Nairobi. But Dar speaks of itself.. It a gigantic place u could ever be! Dar doesnt need to be that green.. Infact, its already bluish.
  9. Mikopo Chefuchefu

    Uteuzi Hewa - Leo nimeteuliwa

    Umetapeliwa nini? Endelea kuishi kama kiongozi, ikiwa ni pamoja na kujitutumua kama bata mzinga ukiwa unaendesha baiskeli lako la phoenix!
  10. Mikopo Chefuchefu

    Zaburi tuliyosomeshwa na Halima Mdee hai-support kabisa

    Ndiyo! Hawa mabeberu wa chama hawakutaka kuwapa uheshimiwa kina mama bila kuwavua chiup***. Kina mama wakaamua kupigania haki yao huku wakilinda utu wao. Tuna kila sababu ya kuwa support hata kama sisi hatuko huko kwenye iko charma!
  11. Mikopo Chefuchefu

    Spika Ndugai: Uingereza kuna Mbunge aliapishiwa hospitali akiwa amelazwa na "bahati" mbaya alifariki bila kwenda Bungeni

    Hata Joe Biden aliapishwa kuwa senator akiwa hospitali akiuguza familia yake iliyopata ajali.
  12. Mikopo Chefuchefu

    Chuo cha Uhasibu Arusha chadaiwa kudahili Wanafunzi wengi kuliko uwezo wake, wengine wasomea na kuishi Hoteli ya Ngurdoto

    Hiki hunifanya nipende biashara ya majengo.. Ukiwa na biashara ya magari, yakifa, unapotea kwenye ramani.. Lakini ukiwa na majengo, ni rahisi kubadili biashara... Hupotei kwenye ramani, mazima!
  13. Mikopo Chefuchefu

    Chuo cha Uhasibu Arusha chadaiwa kudahili Wanafunzi wengi kuliko uwezo wake, wengine wasomea na kuishi Hoteli ya Ngurdoto

    Kila kona, watu kibao... Hii inanikumbusha mwaka 2005 wakati nimekwenda kujiandikisha kusoma ADA pale IFM.... Tulikuwa nyomii.. Nafasi zilikuwa first come, first served.. Nilichelewa kujiandikisha kutokana na kukosa tuition fee... Kuja kuipata siku mbili baadaye, nakuta nafasi zimejaa.. Ikabidi...
  14. Mikopo Chefuchefu

    Naomba kufahamu kwa anayejua wapi 'Cheese'/Jibini zinauzwa

    Nenda CEFA-Ikondo. Kwa wa Italy.. Kituo kimoja kabla ya kufika Clouds Fm!
Back
Top Bottom