Kaka kwanza mimi nikushukuru sana kwa msaada wako, mimi kwa upande wangu nimefata hatua zote ulizoziweka. nimefanikiwa na chanel baadhi zimeingia badala ya 24 nimepata 14 ingawa peace tv haimo. je nifanyeje sasa ili niipate peace tv. Mikidadi Kipande, Nipo Kigoma.
Kiukweli ni Lazima Mwimbo huu Ufundishwe Wanafunzi na wao wauimbe Mstarini ikiwezekana kila siku Asubuhi kabla ya kuingia madarasani ili kuwafanya wawe Wazarendo Zaidi. Mungu Ibariki Tanzania.
kwa niyaba ya Walimu wote Tanzania, tunasikitika sana kwa tukio hilo natuna laani vikali sana kutokana na kitendo hicho. Na kwa upande mwingine mwenyezi mungu Amlaani huyo AFISA ELIMU MSAIDIZI kwa kushangilia tukio hilo huku akifahamu kinachoendelea kuwa hapo shuleni hakuna/miundo mbinu ni...
Ponda ni muislamu ndio maana hawahusu!. Ila angekuwa Mkristo huwenda angewahusu. Ila kwa hali ya kawaida ni mwanaadamu na anastahili haki zake kama binaadamu wengine. Ila huwenda pia hao wote wapo katika kutekeleza kauli ya "piga tu". Kweli inasikiisha sana na sijuwi kama ndio hivi! Basi chombio...
Ponda ni muislamu ndio maana hawahusu!. Ila angekuwa Mkristo huwenda angewahusu. Ila kwa hali ya kawaida ni mwanaadamu na anastahili haki zake kama binaadamu wengine. Ila huwenda pia hao wote wapo katika kutekeleza kauli ya "piga tu".
ni hivi inapobidi kuwa muwazi acha mtu awe muwazi. Hivi kuna agenda gani ya Siri hapa kikifanya kosa Chama cha Kususa na Maandamano watu wanakitetea tu eti kwa ajiri ya USHABIKI TU. Huu ni ujinga tena upuuzi kabisa. Mi kwa upande wangu namuunga mkono kabisa huyu aliye tafuta ukweli huu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.