ANGALIENI UBAGUZI HUU Ndani ya CHADEMA

ANGALIENI UBAGUZI HUU Ndani ya CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Hivi Match ya Marudiano kati ya The Cranes na Taifa Stars ya Kufudhu CHAN ni lini?
 
ukiwa cdm na unataka kufaidia ni lazima either uwe kambi ya Mbowe, Slaa, Mchaga au umetoka arusha au moshi. if not any of those than you are just dispensable like garbage.

Lwakatare has lost his value so now he is being sent to the shredder.
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo, kesho ndio uchaguzi wa madiwani sehemu mbali mbali nchini, sote tunajua CCM watafunika viti vyote Mbeya na sehemu nyinginezo. Lakini kuna sehemu moja tu ambayo nina uhakika matokeo yakitoka makamanda wanaweza kuzimia.

Nimefuatilia kampeni na mikutrano ya Mheshimiwa Mwigulu Nchemba na Nape na nimewaonea huruma sana makamanda kwani wameonyeshwa tofauti kati ya Chuma na plastiki.

Nawaomba watu wa msalaba mwekundu wawe standby kesho kuhakikisha wanawasaidia makamanda watakaozidiwa baada ya vipimo kutoka kwa daktari ambaye ni sanduku la kupigia kura.

Nawaomba watu wa msalaba mwekundu muendelee kuwa standby, wapo waathirika ambao mpaka leo hawajaweza kupata matibabu...yawezekana wanahitaji vipimo zaidi kutoka kwa daktari.

Yaani wapo watu wasivyo na aibu! Oops, kumbe watu wenyewe ni pamoja na Chris Lukosi!
 
Kwa hiyo wewe unaona sawa kabisa babu kwenda check up ugerumani na familioa nzima kwa wiki tatu halafu kamanda wa muhimu aliesota kwa muda mrefu jela kwa ajili ya chedema anatupa muhimbili third class na kusahaulika? eti kwa sababu sio wa kaskazini?

UBAGUZI MBAYA SANA

JITAMBUE!
Swala la babu kwenda ujerumani...kufanya check up siliongelei maana sina uhakika km alienda check up au alienda kutembea...au alienda kwenye shughuli za chama. Hata hivyo lazima tujue kuwa babu anafanya kazi na kulipwa mshahara..anaweza kwenda kwa gharama zake..au gharama za chama kulingana na mkataba wake wa kazi (ni fikra zangu). Lwakatare naye ana mkataba wake kulingana na kazi zake. Hata hivyo narudia kusema haya yote yanatokea kwa sababu ya uongozi mbovu wa serikali tuliyonayo. Km serikali ingeimarisha huduma za afya hapa..hakuna mtanzania ambaye angefikiria kwenda kutibiwa nje! Labda kwa kesi maalum sana. Rejea Afrika kusini na matibabu ya Mandela!
 
achaneni naye kwanza ana tuhuma yeye na jamaa zake kutumia kivuli cha serengeti freight Uk kuuza cocaine
 
bwana lukosi hii kazi ya kuitetea CCM kwa kweli itakugarimu sana na zaidi itakulemaza kifikra sababu umesha izoesha akili yako kufikri kizembe ,majungu,umbea na mengi yanayo kuzidishia ulemavu wa fikra. embu jaribu kutumia akili ambazo mungu alikutunuku, vinginevyo naamini hata familia yako inaelekea kukushinda kabisa ingawa wewe utajiona upo sawa.ni ushauri tu .

Anza na familia yako,
nani asiyejua kwamba yale makelele ya babu kujifanya mzalendo ni usaniii mtupu
 
wewe ni mtoto sana kisiasa, nini matusi kama huwezi kujibu mada. hizo ni dalili za political immaturity. kama ni ugonjwa tuu mbona hamuuzungumzii maradhi ya ki kleptomaniacism ya lema kwa kupenda kuchukua magari ya watu na kuyauza
Unalaani matusi kwa kutukana.... Utabadili sana. Id mwaka huu

naona four o'clock imekukurupusha na jinamizi lalema
 
ni hivi inapobidi kuwa muwazi acha mtu awe muwazi. Hivi kuna agenda gani ya Siri hapa kikifanya kosa Chama cha Kususa na Maandamano watu wanakitetea tu eti kwa ajiri ya USHABIKI TU. Huu ni ujinga tena upuuzi kabisa. Mi kwa upande wangu namuunga mkono kabisa huyu aliye tafuta ukweli huu na kuuweka hapo na wala usiuite umbea,kwani ni uongo? CHADEMA angalieni msije mkafa kwa presha, kwanza kwa sasa ni miongoni mwa chama kimechopoteza mvuto kabisaa nchini Tanzania na ushahidi itakuwa ni ushindi mkubwa wa CCM mwaka 2015. Mi sitetei chama fulani ila huwa napongeza chama husika pale kinapokuwa kimefanya vizuri sio mkumbo tu eti ilimradi tu nami niwe najidanganya ni wa kisasa au ninaenda na wakati,mengine si kwenda na wakati bali kupotea na wakati.
 
Swala la babu kwenda ujerumani...kufanya check up siliongelei maana sina uhakika km alienda check up au alienda kutembea...au alienda kwenye shughuli za chama. Hata hivyo lazima tujue kuwa babu anafanya kazi na kulipwa mshahara..anaweza kwenda kwa gharama zake..au gharama za chama kulingana na mkataba wake wa kazi (ni fikra zangu). Lwakatare naye ana mkataba wake kulingana na kazi zake. Hata hivyo narudia kusema haya yote yanatokea kwa sababu ya uongozi mbovu wa serikali tuliyonayo. Km serikali ingeimarisha huduma za afya hapa..hakuna mtanzania ambaye angefikiria kwenda kutibiwa nje! Labda kwa kesi maalum sana. Rejea Afrika kusini na matibabu ya Mandela!
Be honest, huu ni ubaguzi wa hali ya juu sana, kwa nini nassari alitibiwa first class halafui lwakatare analala muhimbili third class?
 
Siasa za tz,,ngoja niendelee kutokuwa na chama,kwani CDM hawana sera za kusema tuwape nchi,CCM ndo zaidi,,ila adui wa CDM ni RA,EL,,,
 
ni hivi inapobidi kuwa muwazi acha mtu awe muwazi. Hivi kuna agenda gani ya Siri hapa kikifanya kosa Chama cha Kususa na Maandamano watu wanakitetea tu eti kwa ajiri ya USHABIKI TU. Huu ni ujinga tena upuuzi kabisa. Mi kwa upande wangu namuunga mkono kabisa huyu aliye tafuta ukweli huu na kuuweka hapo na wala usiuite umbea,kwani ni uongo? CHADEMA angalieni msije mkafa kwa presha, kwanza kwa sasa ni miongoni mwa chama kimechopoteza mvuto kabisaa nchini Tanzania na ushahidi itakuwa ni ushindi mkubwa wa CCM mwaka 2015. Mi sitetei chama fulani ila huwa napongeza chama husika pale kinapokuwa kimefanya vizuri sio mkumbo tu eti ilimradi tu nami niwe najidanganya ni wa kisasa au ninaenda na wakati,mengine si kwenda na wakati bali kupotea na wakati.
Jamaa ni wabaguzi na kila mtu anajua hilo
 
Mbona wenye akili tumeshaling'amua hilo toka kitambo! ubaguz wao ni wa dhahili kabisa, namuonea huruma sana Wilfred na wengineo kwa kupotea njia!
Tatizo vijana wengi wamekuwa kama misukule hata hili la lwakatare hawalioni wanaona ni sawa tu
 
Kweli kazi tunayo nilifikiri utaanza na serikali kuwa inatakiwa kuboresha mazingira ya hospitali zetu ili viongozi wetu watibiwe hapa na sio nje ya nchi. Sasa unaanza na mtu ambaye yeye pia ni muhanga wa tatizo na ndie ambaye anapiga kelele kila siku kuwa pesa nyingi zinatumika ndivyo sivyo.Ushauri wangu kwako ni vyema ukaenda kuwashauri viongozi wako wa chama chako(maana najua wewe ni chama .....) waboreshe miundo mbinu ya hospitali ili wao(viongozi) wawe wanapata matibabu hapa nchini na sio kukimbilia nje ya nchi. Huyo uliyemtaja hahusiki kabisa na hicho unachokisema acha akatafute huduma bora na sio bora huduma kama tunazopata sisi wananchi.
 
Kwa hiyo wewe unaona sawa kabisa babu kwenda check up ugerumani na familioa nzima kwa wiki tatu halafu kamanda wa muhimu aliesota kwa muda mrefu jela kwa ajili ya chedema anatupa muhimbili third class na kusahaulika? eti kwa sababu sio wa kaskazini?

UBAGUZI MBAYA SANA

JITAMBUE!

Sasa wewe kinachokuwasha nini hapa? Nyie ndio Lady Jaydee aliwaimba "wanaume kama mabinti". Can't you come up with constructive something even once? Wewe ni umbea tu full time. Ona aibu mtoto wa kiume.

Tiba
 
Swala la babu kwenda ujerumani...kufanya check up siliongelei maana sina uhakika km alienda check up au alienda kutembea...au alienda kwenye shughuli za chama. Hata hivyo lazima tujue kuwa babu anafanya kazi na kulipwa mshahara..anaweza kwenda kwa gharama zake..au gharama za chama kulingana na mkataba wake wa kazi (ni fikra zangu). Lwakatare naye ana mkataba wake kulingana na kazi zake. Hata hivyo narudia kusema haya yote yanatokea kwa sababu ya uongozi mbovu wa serikali tuliyonayo. Km serikali ingeimarisha huduma za afya hapa..hakuna mtanzania ambaye angefikiria kwenda kutibiwa nje! Labda kwa kesi maalum sana. Rejea Afrika kusini na matibabu ya Mandela!

Mwenye masikio na asikie. You have said it all.

Tiba
 
Nyote mnajua kuwa juzi tu babu aliongozana na familia nzima hadi wapambe kwenda kufanyiwa check up ya kisukari Ujerumani, jambo ambalo sio tu linaweza kufanywa na hospitali ya kawaida nyumbani bali pia ni la kwaida sana nyumbani.

Wakati tukishuhudia babu kwa muda wa wiki mbili na nusu kwa gharama kubwa zisizo mfano, leo hii kamanda ambaye juzi tu alisota rumande kwa mwezi mzima na kuwa gumzo kwa jamii kwani alikuwa akiwakilisha chama, kwa bahati mbaya ameugua na imebidi alazwe lakini matibabu aliyoyapata ni sawa tu na wanayopata raia wa kawaida muhimbili.

Mbona Nasari juzi alivyojipiga ngumi ya pua alipewa first class treatment?

Makamanda inabidi muwaogope sana hawa viongozi wenu kwa ubaguzi wao.

Swala la Matibabu ni personal sana ndugu yangu, hata hivyo lisihusishwe na mahusiano ya watu kwenye Chama ingekuwa hivyo watu wote wangehama CCM kwa mwenyekiti wake kwenda kumtibu Ray C India wakati kuna diwani wa CCM alifia kwenye vi hospitali uchwara hapa Bongo JE hii unaweza ukasema Rais alimdharau Diwani kuliko Ray C? Utapambana sana lakini hautashinda
 
Kwa hiyo wewe unaona sawa kabisa babu kwenda check up ugerumani na familioa nzima kwa wiki tatu halafu kamanda wa muhimu aliesota kwa muda mrefu jela kwa ajili ya chedema anatupa muhimbili third class na kusahaulika? eti kwa sababu sio wa kaskazini ?

UBAGUZI MBAYA SANA

JITAMBUE!
Hivi Bukoba iko sehemu gani ya Tanzania vile?
 
Nyote mnajua kuwa juzi tu babu aliongozana na familia nzima hadi wapambe kwenda kufanyiwa check up ya kisukari Ujerumani, jambo ambalo sio tu linaweza kufanywa na hospitali ya kawaida nyumbani bali pia ni la kwaida sana nyumbani.

Wakati tukishuhudia babu kwa muda wa wiki mbili na nusu kwa gharama kubwa zisizo mfano, leo hii kamanda ambaye juzi tu alisota rumande kwa mwezi mzima na kuwa gumzo kwa jamii kwani alikuwa akiwakilisha chama, kwa bahati mbaya ameugua na imebidi alazwe lakini matibabu aliyoyapata ni sawa tu na wanayopata raia wa kawaida muhimbili.

Mbona Nasari juzi alivyojipiga ngumi ya pua alipewa first class treatment?

Makamanda inabidi muwaogope sana hawa viongozi wenu kwa ubaguzi wao.

JITAMBUE
Mh-Joshua-Nassari-Akiwa-Amelazwa-Hospitali-ya-Selian-na-Mh-Peter-Pinda-Waziri-Mkuu-300x165.png
images
Lwakatare-704x400.jpg
images



Mafisadi wana wakati mgumu sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom