Recent content by Mikembo Samike

  1. Mikembo Samike

    JamiiForums Tanzania Sheria Mpya: Kama hujafikisha miaka 45, hakuna kuendesha basi au lori

    Mkuu wangu haunijibu ujumbe wangu nimekutumia!
  2. Mikembo Samike

    JamiiForums Tanzania RPC Olomi aliyesimamishwa kazi Kagera ni nani ?

    Mkuu nimekutumia ujumbe inbox yako naona kimya
  3. Mikembo Samike

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu wakuu: Nahitaji laki 1

    Wakuu habari zenu, Naomba niende moja kwa moja kwenye lengo la uzi. Wakuu nina shida sana, nimepatwa na matatizo, nina hitaji msaada wenu wa kifedha. Nina shida na shilingi laki moja. Mimi ni mwanachuo, na kwa sasa imebaki takribani wiki mbili tu vyuo vyote nchini vifunguliwe. Niko tayari...
  4. Mikembo Samike

    JamiiForums Tanzania Namchukia sana mama yangu mzazi

    Tunaelewana tu vizuri mkuu japo wenzangu wako kwenye miji yao mikoani. Umbali ni changamoto.
  5. Mikembo Samike

    JamiiForums Tanzania Namchukia sana mama yangu mzazi

    Asante mkuu kwa ushauri.
  6. Mikembo Samike

    JamiiForums Tanzania Namchukia sana mama yangu mzazi

    Asante sana mkuu!
  7. Mikembo Samike

    JamiiForums Tanzania Namchukia sana mama yangu mzazi

    Asante mkuu, nimeona!
  8. Mikembo Samike

    JamiiForums Tanzania Namchukia sana mama yangu mzazi

    asante mkuu
  9. Mikembo Samike

    JamiiForums Tanzania Namchukia sana mama yangu mzazi

    niko tayari mkuu wangu!
  10. Mikembo Samike

    JamiiForums Tanzania Namchukia sana mama yangu mzazi

    Kwa kweli sifahamu kabisa procedures za kumyang'anya hizo fedha zisifike kwake kwasababu mambo ya mirathi yana taratibu ngumu sana mwishowe itakuja kuzuka migogoro.
  11. Mikembo Samike

    JamiiForums Tanzania Namchukia sana mama yangu mzazi

    ameanza ulevi muda mrefu sana kabla hata mzee hajafariki 2013.
  12. Mikembo Samike

    JamiiForums Tanzania Namchukia sana mama yangu mzazi

    Wakuu habari zenu, Inawezekana hili ni jambo ambalo linaonekana kama ni gumu sana, lakini nisiwe mnafiki, maisha yangu yote sijawahi kuuonja upendo wa mama. Nyumbani tuko wa tano, mimi ni wa nne, na kaka zangu wote wameshaoa. Nyumbani niko mimi na mdogo wangu wa kike. Mama yetu ni mlevi wa...
  13. Mikembo Samike

    JamiiForums Tanzania Naomba tofauti ya Lengo na Dhumuni

    mh
Back
Top Bottom