Mikembo Samike
Member
- Oct 4, 2018
- 13
- 12
Wakuu habari zenu,
Naomba niende moja kwa moja kwenye lengo la uzi.
Wakuu nina shida sana, nimepatwa na matatizo, nina hitaji msaada wenu wa kifedha. Nina shida na shilingi laki moja.
Mimi ni mwanachuo, na kwa sasa imebaki takribani wiki mbili tu vyuo vyote nchini vifunguliwe. Niko tayari kufanya kazi yoyote halali angalau ndani ya wiki hii nipate hiyo fedha nitatue hili tatizo.
Wakuu, yeyote anayeweza kuniamini naomba anisaidie. Hata shilingi elfu moja nitashukuru sana!
Natanguliza shukrani na Mungu awabariki!
Naomba niende moja kwa moja kwenye lengo la uzi.
Wakuu nina shida sana, nimepatwa na matatizo, nina hitaji msaada wenu wa kifedha. Nina shida na shilingi laki moja.
Mimi ni mwanachuo, na kwa sasa imebaki takribani wiki mbili tu vyuo vyote nchini vifunguliwe. Niko tayari kufanya kazi yoyote halali angalau ndani ya wiki hii nipate hiyo fedha nitatue hili tatizo.
Wakuu, yeyote anayeweza kuniamini naomba anisaidie. Hata shilingi elfu moja nitashukuru sana!
Natanguliza shukrani na Mungu awabariki!