Yah, naelewa yapo hayo. Lakin mtizamo iwe kila mtu kutimiza majukumu yake na kuheshimiana maana kila mtu ana mhitaji mwenzie.
Kuna watu wanaogopa kuanzisha biashara sababu wanaogopa kuibiwa na wafanyakazi wao, au kuwa biashara itakufa sababu wafanyakazi wao hawatakuwa wanajali kazi ila...
Yah, ni kweli unazungumzia vitu vya muhimu. Lakini haitokaa iwezekane kila mtu kuwa muajiri. Na unaweza kuajiri huku nawew umeajiriwa.
Msingi wa nilichobandika hapo juu ni kuwa tuheshimiane na kila upande utimize majukumu yake. Kama vipi mwajiri asitafute wafanyakazi, kazi zoote afanye yeye na...
Kila upande lazima utimize majukumu yake. Wafanyakazi wafanye kazi kwa bidii na maarifa na nidhamu halafu mwajiri aboreshe maslahi ya wafanyakazi wake, asiwanyanyase. Huku akiwa makini asiingie hasara. Hiyo ndo staili ya maisha. Ndo ustaarabu wenyewe. Ndivyo inavyotakiwa.
Wafanyakazi wako...
Moja ya sifa kubwa ya nchi zinazoendelea (maskini) ni kutojali elimu.
Zitamlipa mamilioni jamaa fulani anayeenda kusema kuwa daraja la pale kata ya mjimwema ni la muhimu (wakati mkuu wa wilaya, mkoa, madiwani wanajua na wanaweza fikisha habari) halafu litamlipa vijisenti jamaa anayekwenda...
Hiyo inapendeza kufundishwa kuanzia ngazi ya digrii ya pili au iwe kama postgraduate ya mwaka mmoja. Tuhangaike sana na kozi za ujasiriamali, ufundi, uvuvi, kilimo, ufugaji
Sasa kijana kamaliza form 6 unampeleka miaka 3 akasomee digrii ya business administration. Akimaliza mwajiri anamuajiri...
Hata wa majimbo ni wengi sana. Hela nyingi zinatumika kuhudumia viongozi na sio kuletea maendeleo wananchi. Utakuta kuna jimbo la mjini na vijijini. Hapo hapo kuna madiwani na wakuu wa wilaya. Wote wanashughulikia kero hizo hizo za wananchi kwa gharama kubwa. Idadi ya wabunge wa majimbo ipungue pia.
Ni kweli mleta uzi. Watu bora liende. Wengi hawajali kazi zao japo unaweza kukuta ndio hiyo hiyo anayotegemea kuendesha maisha yake. Utamaduni wa kupenda kazi ni kama hatuna vile. Sasa sijui nini kifanyike.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.