Inasikitisha sana kuona nchi masikini kama hii bado inafuja hela za umma kwa kasi ya ajabu, nchi fukara isiyojiweza Vyeo hewa vimejazana mfano hai ni wabunge wa viti maalumu na wabunge wa kuteuliwa na Rais,
hawa watu hawana tija yoyote kwa Taifa zaidi ya kupewa mishahara ya bure tu, Nchi masikini kama hii ambayo vijijini zahanati zinaendeshwa na muhudumu mmoja tu akiugua zahanati inafungwa , inashangaza kuona tumekumbatia mambo yasiyo na tija
watu sampuli ha pole pole wana nini cha maana mule bungeni?
Akina halima mdee wana tija ipi bungeni? wanamuwakilisha nani?
wabunge zaidi ya 100 bungeni wasio na majimbo wanamuwakilisha nani? hizi sio dharau kweli hizi?
zaidi ya bilioni moja kila mwezi zinapotea kwa watu wasio na kazi yyte wanalishwa bure tu, Mwanaume kama polepole ana nguvu kabisa za kujitaftia kipato why analishwa bure?
hiyo bilioni moja na zaidi inayopotea kwa kuwapa watu kama akina halima mdee wasio na majimbo wala hawamuwakilishi mtu yoyote hivi hiyo hela kwa mwezi inalipa walimu wangapi wa sayansi? situngekua tumemaliza tatizo la uhaba wa waalimu?
ndio maana CCM hawataki katiba mpya, hii nchi inapaswa kupinduliwa kijeshi tu hakuna namna