Joshua katoka SUA, kaenda Israel kufanya internship, hata miezi 6 hajafikisha afu kuna wajinga wanaongozwa na dini bila kufikiri wanasema alikuwa mwanajeshi, hivi kuna mtu anaweza kuingia jeshini bila mafunzo,
Video inaonesha kabisa hana silaha yoyote alafu wapumbavu wanasema alikuwa mwanajeshi...
Acha nisubiri reply ziwe nyingi nione imagination za wabongo,
Mi
1. Asubuhi na mapema baada ya kuapishwa nauvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
2. Naunda Katiba ya nchi huru ya Tanganyika yenye kuakisi mahitaji ya wananchi.
4. Nabadili mfumo wa elimu.
5. Nationalize rasilimali za...
Habarini wakuu.
Leo nilikuwa naangalia makala ya Africa News Channel YouTube ilikuwa inaelezea ubaguzi na hali duni ya maisha wanayokumbana nayo ya jamii ya Wairaq weusi. Nikagundua kuwa katika nchi nyingi watu wenye asili ya Africa huwa ndio wanaokuwa masikini kuliko makundi mengine...
Demokrasia ina madhaifu yake na moja n hapa,
Ukijinasibu kuwa mwana demokrasia lazima uheshimu uhuru binafsi wa watu, kuabudu, kukusanyika as long as kinachofanywa hakivunji sheria za nchi.
Dini ya mtu/kiongozi sio dini ya taifa, Ingekua hivo wakristo wote nchi hii wangeforciwa kuwa waislam...
Haya mashirika mengi yao ndani kumejaa kujuana, urafiki, ukabila, na ukanda.
Ukifahamiana na HR, Country Director or hata Coordinator tayari umeula.
Ukitaka kuingia kwa mlango wa kawaida aise ni mambo mawili.
Uwe na Experience ya hali ya juu.
Na pili uwe na uwezo mkubwa.
Ila fresh from...
Poleni sana
Nilikutwa na huu ugonjwa, na nikaambiwa n Chronic na ilinipasa kuwa nafanyiwa monitoring kila baada ya miezi sita
Nimeenda kuponea kwa Mwamposa,
Kaka kwa MUNGU YOTE YANAWEZEKANA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.