YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,050
Kanisa ls Grace na huyo washukuru serikali kuwafungiaKwanza, sikubaliani na utaratibu wa serikali kufungia makanisa bila amri ya mahakama.Imani ni kitu subjective sana, kuwapa watu wachache nguvu kubwa ya kufunga na kufungilia taasisi za kidini bila mchakato wa mahakama wa wazi sio sahihi kabisa.
Walikuwa wakihatarisha amani ya nchi
Mtu anasimama wazi na kuhubiri kuwa hakuna kitabu kilichojaa upumbavu kama Biblia nenda YouTube Uwasikilize yeye na mkewe Grace ni kutukana Biblia
Hebu fikiria mamilioni ya watanzania wanaokiheshimu hicho kitabu angeachwa aendelee ingekuwaje .imani kali wasingemuacha
Uhuru wa kuabudu lazima uzingatie katibs kuheshimu.omani za watu wengine sio tu.kuporomoshea matudi tu