Recent content by Miiku

  1. Miiku

    Je, ni sawa mke kumkumbuka marehemu 'Ex' wake kwa kumpost mtandaoni?

    Unaweka Picha yake na jumbe hiyo "nitakukumbuka sana" kwenye Wtsp Status hivi pale kwenye kitufe cha Ku reply ana reply je[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
  2. Miiku

    Je, ni sawa mke kumkumbuka marehemu 'Ex' wake kwa kumpost mtandaoni?

    Huyo Mwanamke ni Mjinga na Mpumbavu kabisa hana Elimu. Hii inafanya wanaume ambao wako kwenye Mahusiano na Ma single Mother kufikiria Mara mbilimbili kama visa ndio hivi kila siku. Hii changamoto ya kuoa Single mother ilikuwepo kwenye jamii ila kwa ujio wa Mitandao ya Kijamii imevumbua na kila...
  3. Miiku

    GE2020 CCM itashinda kwa kishindo kikubwa sana Arusha Mjini

    Gambo mwenyewe ana ujua Mziki wa Lema.
  4. Miiku

    GE2020 Tundu Lissu sitakuchagua hata useme nini

    Ndio maana ya FASIHI
  5. Miiku

    Hii Tecno ina shida gani?

    Tecno Rubish
  6. Miiku

    Kuwa na Marafiki wanaoeleweka

    @kiranga wewe ni writter mzuri endelea kuandika mkuu najua una maarifa mengi na kuyagawa na hasa kwa kuandika humu ni Hobby yako. Comment zako huwa wengi tunazisoma na hizo zimekupa upekee na wengine humu.
  7. Miiku

    Kuwa na Marafiki wanaoeleweka

    Kweli usipoelewaka mipango yako na unavyovimiliki pesa, mali , akili na maarifa sahau watu kuja kwenye maisha yako.
  8. Miiku

    Kuwa na Marafiki wanaoeleweka

    Mtafte hela kwa bidii na hekma zaidi.
  9. Miiku

    Kuwa na Marafiki wanaoeleweka

    Hello Guys, Katika maisha ya sasa (sijui huko nyuma) kuwa na marafiki wanaoleweka namaanisha wenye uchumi wa kati na wajuu kama wewe ni hohe hahe ni ngumu sana kujoin na watu kama hawa, utaishia kuwa na wa level ya chini ambao nao ukipata changamoto ya kifedha e.a hawawezi kukusaidia zaidi ya...
  10. Miiku

    Ubaguzi wa makabila katika kuoa

    Unaonekana una chuki KUBWA SANA nawachagga nasikitika ni kwanini mnawachukia wachaga kiasi hiki? Ni mali na akili walizo pewa na Mungu tu au kuna lingine?
  11. Miiku

    Ubaguzi wa makabila katika kuoa

    Hii kuua ni kweli kabisa mimi ni mchagga wa kibosho nimeshuudia wazee wakisema, kuhusu wanawake wa kimachame kuwa wa jeuri hii ni ukweli kabisa kati ya 10 7 ni wajeuri.
  12. Miiku

    Jinsi ya Ku view status ya Mtu WhatsApp Bila yeye kuona kama umeview

    Nenda kwennye seting ya yowatsapp yako kisha privacy utaona maelezo yote.
  13. Miiku

    Jinsi ya Ku view status ya Mtu WhatsApp Bila yeye kuona kama umeview

    Hayo mambo tunayapata ukiwa na Yowhatsapp
Back
Top Bottom