Recent content by MIGUGO

  1. MIGUGO

    Nunua gari unayoweza kuihudumia na sio gari uipendayo

    Hivi common problem ni nini kwenye vitz?
  2. MIGUGO

    PreGE2025 Telegram Messenger ina shida Tanzania hadi utumie VPN

    Ndio hao waisrael wamemkamata
  3. MIGUGO

    PreGE2025 Telegram Messenger ina shida Tanzania hadi utumie VPN

    Inasumbua baada ya mmiliki wake waisrael wamemkamata nasikia
  4. MIGUGO

    Mayor wa jiji kakosa ubunifu na usafi

    1.Barabara hazifanyiwi usafi.Wanawatumia wafagiaji wa mafagio ya mkono badala ya mashine. 2.Ile barabara ya ufukwe ilitakiwa ipandwe mfano palm trees 3.Ufukwe wa posta ya zamani ile ni pesa.Wangebuni mfano kile kituo cha mwendokasi kiwe pale kwenye garden na ile garden itazamane na bahari...
  5. MIGUGO

    Siasa Michezoni (Simba vs Al Ahly): Azam TV wanapaswa kuonywa, kuadhibiwa au kufungiwa!

    Sisiemu walitamani waweke mibango yao ya umeupiga mwingi
  6. MIGUGO

    Wachambuzi bongo hakuna tena, wanatumia artificial intelligence kuandaa makala za mchongo

    Hawa wa kike ndio kabisa.Wanawekwa kutimiza Sera ya inclusion tu.Wanahanya hanya tu
  7. MIGUGO

    Picha: Gari la serikali na mafuta ya serikali mtu anatumia shangingi hilo kwenda kulewa na kubebea malaya kwa Kodi za walala hoi

    Kwa raha zao.Yaani sasa hivi wanakuwa na plate namba za kiraia. Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
  8. MIGUGO

    Je, Mwalimu au Mtumishi yeyote wa Serikali anahitaji ruhusa ya Mwajiri kusafiri nje ya nchi akiwa likizo?

    Kwani hakujaza kwenye mfumo wa e-safari details zake asafiri bila shida?Au utaratibu unakuwaje? Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
  9. MIGUGO

    Nyimbo za Burna Boy hazina Mvuto lakini eti ndio anafunika Afrika nzima

    Sound zinazoshinda tuzo ni zile mpya,peculiar ila si zile za kuungaunga na janja janja.
  10. MIGUGO

    Sakata Mkataba wa Bandari: Wakili Mwabukusi asema asiyetaka kukosolewa aondoke kwenye ofisi za Umma

    Tupo pazuri nchi inaenda vizuri. Hakuna shida. Viongozi wameletwa na Mungu.[emoji16][emoji16]
  11. MIGUGO

    Tanzania tungekuwa na akili tungetengeneza Taifa Stars sio kutegemea Klabu

    Kweli kabisa.Kama ni tunajiandaa na michuano ya mataifa ya Africa 2027,tuandae vijana toka sasa Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom