Walijuaje kama izo siku ao watu walikuwa wanawasiliana? Najua datas wanazo tayari ndio maana wanajeuri ya kiongea ivyo.tungoje itakuwaje ila ni hatati sana jamani.kwann wasingekubali wazo la mwanakijiji kufuta kesi yaishe.
Lisu hata kama Singida wasimpe kula ataingia t bungeni.ni bora kuwa na mbunge peke yake kuliko.kuwa na wabunge ishirini.yaani yy ni mbunge wa Taifa na siyo wa chadema wala ccm na wala si wa Singida.yupo kwa ajili ya Taifa.yaani kwangu ni mbunge bora Tanzania. Anastahili kupewa heshima ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.