Hali inakuwa tete katika nchi yetu Kanisani Parokia ya Urafiki kumetokea mlipuko haijajulikana kama ni bomu au la ila watu wamejruhiwa inasikitisha.Source: Radio Maria
It's too early. subiri tujue chanzo cha mliuko kwanza.Kweli wanadamu wamekuwa wakatili.......
mkuu wanao tangaza wenyewe wanakataa kulizungumzia hili wanasema wao hawana taaluma ya kuwawezesha kuliongelea!wanawaachia wana usalama!sasa wewe mchami kama upo hapo unasikiliza radio maria si uendelee kutupa coverage ya tukio hilo..
Nguvu iliyotumika
kumkamata Lema ndio inatakiwa itumike kuwakamata wahusika!Hatuhitaji
usanii hapa!
Hata mimi nasikia ila hawajajua ni nini. Ni mbinu za ccm kuzuia mikutano
Picha kama inawezekana
Hakuna vifo mliopo hapo ?
vuta subira wanao tutangazia wenyewe hawana uhakika!japo wanasema majeruhi wengi wamejeruhiwa miguuni!!chanzo nini
Damn! Ndo Kikwete keshatufikisha hapa?