mi nafikiri inatosha toka 2012 umemlipiza vya kutosha kampime ukimwi endelea kumgonga mi wife nilimpangia one year ya kumtesa na kweli aliisoma no lakin ule mwaka ulivoisha nikamsamehe yeye alinsumbua sana kipindi namtongoza nilikata tamaa baadae akaangukia mikonon mwangu tena
Manaake toka awamu ya tatu nilisikia Mkapa na wazee wa Dar es salaam, awamu ya nne Kikwete na wazee wa Dar es Salaam, na hii ya tano Magufuri na wazee wa Dar es salaam, sasa najiuliza hivi Lindi, Rukwa, moshi, Ruvuma hakuna wazee. Io title ya mkutano sijaipenda in bora ingeitwa MAGUFULI NA WAZEE...
majibu mbona mnashikwa na woga mi ni mpinzani lakini kwa anachofanya magufuli na majaliwa nawaunga mkono asilimia 200, Mkapa aliwai kuulizwa kwenye interviem ya Meet the Leader tvshow Kenya kwamba, "in your experience what do you think are the qualities of a good leader? Akajibu kwa kesi ya...
Nimependa sana apa maana ake mim huwa najiuliza maswali mpaka nakaribia uchizi; nauliza hivi
1. Mungu baada ya kumuumba adam kwa nin hakuweka ulinzi kwenye bustani au kwanini asingeweka fensi ili nyoka wasiingie?
2. Baada ya vita kuu mbinguni (Ufunuo ) mungu alimshinda shetan kwa nini...
[Intro]
Yeah!
Cheke, The Industry
Yeah.. (Nahreel On The Beat!)
[Verse 1]
Unafatana na rafiki daily
Utadhani unabarehe
Kumbe wewe ni baba Vicky yeh yeh!
Mwenzako baba Swalehe
Unajaza marafiki home
Utadhani una sherehe
Ya shule mtoto huyajui dingi
We ni soka tu kufatilia ligi
Mkeo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.