Kwanini mabinti weupe wa Kisukuma ni dili?

Kwanini mabinti weupe wa Kisukuma ni dili?

Mwanamke mweupe ana raha yake wapendwa...yaani mimi ndiyo huwa ni ugonjwa wangu kwa kweli nikiona mwanamke,binti mweupe.
 
nani kasema ni dili. Sio kweli.
Mwanamke mweupe sio test ya kila mtu
 
mkuu kwa hiyo ukiwa nae mweupe unaitwa mjanja wa kijiji?

Yaani kuanzia tu kumfuata mweupe, kumposa, kumtolea mahari na kufanya ile ndoa ya kimila (ifumanija) mbele ya kadamunasi, wewe na familia yako na hata ndugu wa mbaaali mnakuwa na bonge la title. Na hiki ndo kinacholeta kupandiliana dau la mahari kwa totoz nyeupe.
NB. Usioe mweupe kwani wengi wao wanajiona sana na wana kiburi cha kufa mtu wakiamini wako sokoni na wanatongozwa na wanaume zaidi ya mara 10/day tena ukikuta mkia wa kondoo upo na meno meupe kama maziwa ya mgando hapo sasa usiseme
 
4m kwa 300k? Dah! Hili halikulenga kuwa swali. Somebody is mad atcha ladies.
 
Mwanamke mweupe ana raha yake wapendwa...yaani mimi ndiyo huwa ni ugonjwa wangu kwa kweli nikiona mwanamke,binti mweupe.

Boss, uliwahi kuja na kisa hapa kuwa ulijifanya mwanamke, na kuna Jamaa akajilengesha. Iliishia wapi issue yako?
 
Mwafrika ni mtu mweusi. Hao mnaoona ni weupe ni kwa sababu hamjui weupe. Africa is black and beautiful. And by the way, rangi ya ngozi haina maana katika utu wa mwanadam, au uzuri wake. Uzuri ni macho na vigezo vyako tu.
 
mi ata x naangalia za mablak tu weupe hawanipi mzuka

ha ha ha,mkuu sasa papuchi unaiona kwa tabu sana,yeye mweusi,papuchi nyeusi ,unakua unaona weusi tuu,mpaka ukaze macho kweli ndo uone,

kitu white hata uwe mita 25 utaiona ileee
 
Asante mungu nilizaliwa kabila ambalo linajari uzuri mwanaume akiona pua tu tayari. Weupe waachie wasukuma. Kwetu black is beauty.
 
Wasukuma tunaamini ukioa mweupe usiku huna haja ya kuwasha taa chumbani.
 
Nachukia wasukuma kwa kuleta ubaguzi wa rangi. We are all Africans hence we are all black for heaven's sake. Difference ya skin hue isiwe sababu ya kudiscriminate.
 
Kwani nani hapendi wanawake weupe?
Mbona hata picha ya MTU mweupe ikiwekwa humu inapata like nyingi kuliko ya MTU mweusi?
Hata kama mweupe ni irregular polygon shape.
 
Back
Top Bottom