Miaka mitano itaisha mkiendekeza matamko yasiyotekelezeka na Kesi ambazo hamuwezi kushinda ni bora hizo pesa mkaanzishe ujenzi wa makao makuu au mkasaidie miradi ya maendeleo majimboni kwenu. Mwaka 2020 nafikiri mtawaeleza wananchi wenu mliandamana mara ngapi na mlifungua kesi ngapi badala ya...
Mrudisheni Zitto Kabwe, Mnyika na Slaa hao ndo walikuwa majembe kwenye UKAWA wenu. Mkiendelea kuwatumia makapi ya CCM mtakuwa ni watu wa kushindwa kila Uchaguzi. Hivi muumtegemee Lowasa aliyeshindwa kupeleka maendeleo kwao Monduli kwa kipindi kirefu akiwa Mbunge, Waziri na hatimae Waziri mkuu...
Endeleeni kususa nafikiri mwaka 2020 kwenye uchaguzi mtawaeleza wananchi kwa kipindi cha miaka 5 tumesusa mara kadhaa tunaombeni Kura zenu wananchi. Kazi ya UKAWA iliyobaki ni kutoa matamko yasiyotekelezeka na kususa
Nyie UKAWA wadwanzi kwelikweli mnasema CCM imekufa wakati iliwagalagaza mwaka Jana kwenye uchaguzi mkuu, ngoja niwakumbushe kwa takwimu nyie UKIWA , CCM ilishinda viti 189 UKAWA 38 chama gani kinakubalika hapo? Ndo maana maigizo ya UKAWA kutoka nje ya Bunge hayajaathiri shughuli za bunge kwa...
Salary mpya 2016/2017 TGS A.315,000/=, TGS B .399,000/=, TGS C .512,000/= , TGS D .710,000/=, TGS E.930,000/=, TGS F. 1,254,000/=, TGS G. 1,525,000/=, TGS H. 2,538,000/=, TGS I .2,880,000/= So hakuna changes zozote ni Uzushi mtupu
Kivuli cha Mamvi chaendelea kumtesa MNYIKA siyo CCM , CCM mziki mkubwa , Ebu jiurize huyo mamvi wenu amekwisa toa Matamko mangapi? na limetekelezwa lipi? VIVA Rais JOHN MAGUFULI your very Strong Leader. Inawezekana kazi ya UKAWA kwa kipindi hiki cha miaka mitano itakuwa ni kutoa matamko...
Tatizo hawa UKAWA hawajaamini kama Walishindwa kwa kishindo na Mgombea wao wa kuazima toka CCM. Mnataka kuongoza nchi wakati hamjiwezi,mpaka leo mnaazima wagombea toka CCM , hiyo BAVICHA yenu inafanya kazi gani? badala ya kuwapika vijana kama wenzenu wa UVCCM kazi mnayofanya ni kuwanunulia...
Cv ya Mbowe, Sugu inachekesha sana. Shule hamna kabisa. Wenzenu CCM ina hazina ya Wasomi na itaendelea kutawala kwa hazina hiyo. Hizo pesa mnazowanunulia vijana VIROBA ili waandamane ni bora muwapeleke SHULE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.