Ashraf omar
Member
- Feb 17, 2011
- 67
- 49
Ngumu kumeza
Wapinzani mnapuuza zoezi la kuongeza wanachama/wapenzi wenu kwasababu ya hiyo akili ya kudhani mna wapenzi wengi na kila chaguzi mnaibiwa kura. Shauri yenu mkuu.Mkuu si vema kufukua makaburi , ukiwekewa matokeo ya uchaguzi humu utakimbia mjomba , ccm ina watu wachache mno .
This is Very PatheticMbowe hataki kushuhudia Jakaya Kikwete akikabidhi Madaraka kwa Magufuli
Mbowe ni Mwenyekiti Chadema Kabla Jakaya hajawa Chairman lakini kamkuta na kamuacha sasa atakosaje kuona aibu
Mbowe hataki kushuhudia Jakaya Kikwete akikabidhi Madaraka kwa Magufuli
Mbowe ni Mwenyekiti Chadema Kabla Jakaya hajawa Chairman lakini kamkuta na kamuacha sasa atakosaje kuona aibu
Haaa haaa siasa sio uadui,Vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa katiba ya wananchi vimesema havitahudhuria mkutano mkuu wa ccm utakaofanyika July 23 mjini dodoma licha ya kupata mwaliko .
Msimamo Huo imara ni muendelezo wa UKAWA kususia shughuli za viongozi na wabunge wa ccm tangu walipoanza kususia vikao vya bunge vilivyokuwa chini ya Naibu Spika ambaye ni Mwanasheria msaidizi wa serikali wa zamani na mbunge wa ccm wa mtelezo wa kuteuliwa na Rais Dk Tulia Ackson.
Chanzo - Mwananchi
MyTake - naunga mkono msimamo huu wa kishujaa , ccm walioko bungeni ni walewale watakaokuwemo kwenye mkutano huo , nyeusi haijawahi kuwa nyekundu .
CCM na polisi , UKAWA na wananchi .
UKAWA itapambana hadi tone la mwisho kuitafuta haki .Siasa ni mchezo mzuri na ni Maisha ila kukiwa na usawa tu
Pamoja na Fahm Dovutwa na John Momose .Upinzani utawakilishwa na TLP bila shaka
Nimesikia Lowassa kajifungia analia akiona Magufuli akikabidhiwa chama ila Mbowe kaona aibu kwa kuminya demokrasia ndani ya chama huku akishuhudia ndani ya ccm demokrasia ikitamalaki km maji ya bahari ya HindiVyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa katiba ya wananchi vimesema havitahudhuria mkutano mkuu wa ccm utakaofanyika July 23 mjini dodoma licha ya kupata mwaliko .
Msimamo Huo imara ni muendelezo wa UKAWA kususia shughuli za viongozi na wabunge wa ccm tangu walipoanza kususia vikao vya bunge vilivyokuwa chini ya Naibu Spika ambaye ni Mwanasheria msaidizi wa serikali wa zamani na mbunge wa ccm wa mtelezo wa kuteuliwa na Rais Dk Tulia Ackson.
Chanzo - Mwananchi
MyTake - naunga mkono msimamo huu wa kishujaa , ccm walioko bungeni ni walewale watakaokuwemo kwenye mkutano huo , nyeusi haijawahi kuwa nyekundu .
CCM na polisi , UKAWA na wananchi .
Jamani, huwa napata taabu sana kutamka, 'Mwenyekiti Mbowe.' Huyu kwa jinsi alivyong'ang'ania uongozi wa cdm, ingefaa aitwe Sultani Mbowe, mwaonaje? Kila nikimwangalia jamaa, naona ukimwambia aachie kiti aweza dondosha machozi.Mbowe hataki kushuhudia Jakaya Kikwete akikabidhi Madaraka kwa Magufuli
Mbowe ni Mwenyekiti Chadema Kabla Jakaya hajawa Chairman lakini kamkuta na kamuacha sasa atakosaje kuona aibu
Mbowe hataki kushuhudia Jakaya Kikwete akikabidhi Madaraka kwa Magufuli
Mbowe ni Mwenyekiti Chadema Kabla Jakaya hajawa Chairman lakini kamkuta na kamuacha sasa atakosaje kuona aibu
Fomu za kugombea uenyekiti wa ccm taifa zishaanza kutolewa ?Nimesikia Lowassa kajifungia analia akiona Magufuli akikabidhiwa chama ila Mbowe kaona aibu kwa kuminya demokrasia ndani ya chama huku akishuhudia ndani ya ccm demokrasia ikitamalaki km maji ya bahari ya Hindi
Wananchi tuko bize na Magufuli,
Ameshusha kodi za korosho kutoka 20 hadi kodi tano tu.
Viva Magufuli.
Machadema na maukawa yakafie mbali huko
CCM na polisi, UKAWA na wananchi? Acha ndoto za asubuhi, CCM ina wapenzi wengi zaidi ya UKAWA. Ubaya wao siyo wapiga kelele kama wa Ukawa. Hamjifunzi na matokeo ya chaguzi zilizopita.