Wasifu (CV) ya Dr. John Pombe Magufuli

Wasifu (CV) ya Dr. John Pombe Magufuli

yaani hapa ukawa ,wanapishana kwenda chooni,ni wanaharisha vibaya mno.CCM inakwenda kuwa mpya na atasafisha mafisadi wote,wananchi wanarudisha matumaini yao kwa CCM sasa,UKawa inazikwa kesho rasmi.
 
Nyie CHADEMA mmesema MAGU hajawahi kuongoza hata shina, je Lowasa alikuwa na wadhifa gani CHADEMA mkampa chama chenu agombee URAIS? '' Nonsense''
 
Nafahamu Kiswahili ila wewe hujanijibu suali langu, tuelezee tofauti ya kuongoza na kutawala.

Mbona nimeuliza suali fupi sana?
Sasa hilo ni swali kaka?, ni kama mtu anakuuliza niambie maana ya kula, hayo ni maneno ya Kishwahili kaka, tafuta Kamusi utapata unachokitaka
 
Umesahau kusema kuwa hajawahi hata kuwa balozi wa nyumba kumi au hata mwenyekiti wa mtaa mkuu!
 
DUNIA TUNAPITA TU FITINI WENYE HAKI UKISUBIRIA MOTO ULE...............TUTAHESHIMIANA MBELE YA SAFARI
 
Kumbe hakuwahi kuwa mwenyekiti hata wa shina zaidi ya ujumbe. ...ngoma inogile ccm bye bye. ... utingo kapewa semi trailer apeleke mzigo wa mafuta kongo

Mbona hukuwahi kuwa rais, na leo anaongoza nchi sembuse chama,
 
Umesahau kusema kuwa hajawahi hata kuwa balozi wa nyumba kumi au hata mwenyekiti wa mtaa mkuu!

Kwa jinsi nyota yake ilivyokuwa ikielekeza, asingeweza kuanzia na hizo ngazi.

Ndio maana kwako wewe anaonekana ni outsider.
 
Amekuwa mjumbe mjumbe tu , kumbe hajawahi kuwa hata mwenyekiti wa tawi ! Hana uzoefu kabisa .
 
Kwanini shule ya msingi amesoma miaka 8??Nauliza tuu,au kipindi Hicho ilikuwa Unasoma Mpaka std 8?au shule alosoma Ndio yenye Huo mfumo,,nielewesheni
 
Lowasa alishika wadhfa gani CHADEMA kabla ya kugombea Uraisi?
Wewe ni matokee ya Big Result Now? Lowasa si mwenyekiti wa CHADEMA. Kugombea Urais ni tofauti na kugombea Uenyekiti. Kigezo cha kumpa Lowasa kugombea urais ni kwamba alikuwa na uzoefu wa kuwa waziri Mkuu na waziri kwa miaka kadhaa. Tofautisha nyadhifa za kisiasa na kiserikali. Aibu sana hii
 
Kwenye elimu hapo ebu tuwekee na madaraja tujiridhishe,hii nchi ni ya uwazi na ukweli
 
Wewe ni matokee ya Big Result Now? Lowasa si mwenyekiti wa CHADEMA. Kugombea Urais ni tofauti na kugombea Uenyekiti. Kigezo cha kumpa Lowasa kugombea urais ni kwamba alikuwa na uzoefu wa kuwa waziri Mkuu na waziri kwa miaka kadhaa. Tofautisha nyadhifa za kisiasa na kiserikali. Aibu sana hii

Aibu kama atashindwa kuongoza, mbona kapewa Uraisi na nchi inaenda. Acheni kujifanya watabiri
 
yaani hapa ukawa ,wanapishana kwenda chooni,ni wanaharisha vibaya mno.CCM inakwenda kuwa mpya na atasafisha mafisadi wote,wananchi wanarudisha matumaini yao kwa CCM sasa,UKawa inazikwa kesho rasmi.
Hivi fisadi aliyenunua mv Darisalama atafikishwa lini kwenye Mahakama ya mafisadi...? Nauliza tu
 
Kwanini shule ya msingi amesoma miaka 8??Nauliza tuu,au kipindi Hicho ilikuwa Unasoma Mpaka std 8?au shule alosoma Ndio yenye Huo mfumo,,nielewesheni
Na hajasema kuwa ilikuwaje akafukuzwa seminary na kwenda kumalizia mtaani.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom