Habari!
Jamani nauliza LOWASSA alirudisha kadi ya CCM wakati anajiunga CHADEMA? Nauliza kwasababu kiutaratibu huwa mtu hurudisha kadi ya chama anachokihama kisha kukabidhiwa ya chama kipya. Lakini hili sikuliona wakati LOWASSA anajiunga CHADEMA au ndio kusema kwasababu ameinunua CHADEMA hakuna sababu ya kurudisha kadi ya CCM!
[/QUOT
Kaka akili yako inakiwango kizuri cha ufatiliaji wa majibu kweli?nina mashaka na wewe. Mzee wangu Slaa niliekuwa ninamuheshimu sana ambae nilikuwa ninamfananisha ki tabia na Baba yangu mzazi ki mfumo mzee D. Mwaipaja alitoa majibu yote pale Serena Hotel alivyo alikwa na ccm wenzake alitolea maelezo kuhusu kadi ya chama baada ya kuama chama kingine mpaka akatolea mf wa ndoa.hivyo post yko cheleweshi imekosa uzoto wa maana.