Niliskia kuwa wabunge huko china walikua wanahamasisha raia zao kutumia devices za huawei tu na sio nyingine .... yani wntaka kila raia atumie huawei tu.. na sio iphone . Sasa inakuaje wao wanareact sanaaa
Kwahiyo inamaanisha hawana mahala pa kuswalia kama ndo hivo siku zote wanaswalia wapi?... Ndo maana huwa kuna vyuo vya kidini. Hicho sio chuo cha kidini kwahiyo mjitegemee wakati wa kuswali na kusali
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.