Recent content by Michael Majeshi

  1. Michael Majeshi

    Ni nyimbo gani kati ya hizi ilisumbua sana kimataifa?

    Kwa wakati wake Aje ya Alikiba ilikimbiza sana
  2. Michael Majeshi

    Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    Heshima haifundiswhi kwa mapigo,wala upendo hauji kwa njia ya chuki.
  3. Michael Majeshi

    Simba ya mwaka kesho sijui

    Umeongea kiufundi zaidi na sio kishabiki, kiufupi simba haihitaji usajili mkubwa sana zaidi ya kuboresha maeneo ambayo msimu ulioisha tulifeli ambao ni eneo la kiungo na eneo la ushambuliaji ambao binafsi naona wameshafanyia kazi katika usajiri
  4. Michael Majeshi

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Maisha bila kazi au kujishughulisha yanatesa sana
  5. Michael Majeshi

    Jamaa aliyetaka kutapeliwa akashtuka akamtapeli mtapeli

    Ulicheza kama pele aiseeee.
  6. Michael Majeshi

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Hallelujah aside Bwana!!,
  7. Michael Majeshi

    Fahamu kuhusu msukule

    Hio yote kuto kuijua kweli na kutofahamu fumbo za shetani kushinda kanisani sio kufanya vita na nguvu za kichawi cha muhimu ni kushindana na kupambana na shetani na wapenda kazi wake
  8. Michael Majeshi

    Mungu hahusiki katika uumbaji, Binadamu ni viumbe na waumbaji

    Sidhani kama utakua huijui vzuri adhabu ya kumdhihaki Mungu Wa Majeshi
  9. Michael Majeshi

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Hapa Mimi nasubiri jibu sahihi maana bado majibizano yamechukua nafasi take
  10. Michael Majeshi

    Michelangelo; Genius aliemchallenge vikali Leonardo Da Vinci kwenye kazi za Sanaa

    Hiiiiiiiiiiiiiii ni nouma mkuu huyu Michelangelo di Lodovico Buonarroti Simoni alikua moto zaidi!
  11. Michael Majeshi

    Hii ndio sababu Magenius hawawezi kuwa matapeli

    me mtapeliwa tu no more complain! siumizi bongo mambo mengi ndio maisha ya sasa nagusa kila pande sijui wapi nitapata!
  12. Michael Majeshi

    Maswali matatu ambayo atheist wanashindwa kuyajibu kwa usahihi

    Mkuu nyingine ni siri za ufalme wa mbinguni na muumba wa unavyoviona na usivyoweza kuviona kwa macho ya nyama,muhimu amini kuwa yupo ili hata usipomkuta ubaki kuwa salama.
  13. Michael Majeshi

    Je, huu ndio ushahidi kuwa Yesu/Issa Bin Maryam alikuwa mweusi?

    Soma hayo maandiko waliyoweka hapo ambayo muandishi anasema ametoa kwenye vitabu viwili vya manabii wakubwa wa mungu Daniel,na Paul harafu fikiria ni kiumbe gani alikua anazungumziwa hapo zaidi ya malaika? Maana tunafahamu kwamba Manabii walikuwa wanamuomba mungu lakini majibu yao walikuwa...
Back
Top Bottom