Mazungumzo magumu si jambo rahisi , moja ya jambo linalowatatiza wengi sana kwenye maisha ya kila siku na kama hauna mbinu dhidi ya mazungumzo magumu yanaweza yasikuache salama kihisia na kiakili, nchini kwetu kwa sasa tunaye Rais ambaye utashi wake mkubwa ni kuona mambo yanakwenda na kama kuna...
Wajapani ni moja ya nchi ya watu wanaochapa kazi sana, na utamaduni wao huu wa kuchapa kazi imewasaidia sana kupaa vileleni mwa nchi zenye uchumi bora na magunduzi mengi katika safari za kimafanikio, moja ya eneo ambalo wajapani wanalipatia uzito sana kwenye kazi ama maeneo ya kazi ni mahali...
Jana zoezi lilikwenda vyema pamoja na changamoto ya watu wengi kutokufahamu ,dhana hii mpya lakini tumekbaliana kuendelea kuwaamsha walio lala zaidi na zaidi , shukrani sana kwa Guru Kinabo , Angela Adolf pamoja na washiriki wote walioanza mwanzo mpaka mwisho , pamoja na Mwal Reiner Charles...
Jana zoezi lilikwenda vyema pamoja na changamoto ya watu wengi kutokufahamu ,dhana hii mpya lakini tumekbaliana kuendelea kuwaamsha walio lala zaidi na zaidi , shukrani sana kwa Guru Kinabo , Angela Adolf pamoja na washiriki wote walioanza mwanzo mpaka mwisho , pamoja na Mwal Reiner Charles...
kanuni isiyochakaa kuhusu maisha inasema kila zama na kila utawala kuna wanaoneemeka na wanaoteseka na mwisho (maisha ni mateso na mateso hayawezi kuondolewa na akili za kawaida ambazo haziwezi kutulizwa na kutafakari kwa kina namna ya kuondosha mateso..... Karibu sana nawe mpendwa
Kwa mara nyingine Light and sound meditation Africa ,Inakuletea mafunzo ya kiroho jijini Mwanza yatakayofanyika kwa siku mbili yaani jumamosi na Jumapili 13/14 /4 /2019 kuanzia saa tatu asubuhi ,Maeneo tulivu ya Royal sunset campsite beach Malimbe Luchelele.
Unakaribishwa wewe na familia yako na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.