Chato kuwa Gemba ya nchi kwani kuna ubaya gani?

Michael Chairman

JF-Expert Member
Apr 11, 2015
922
581
Wajapani ni moja ya nchi ya watu wanaochapa kazi sana, na utamaduni wao huu wa kuchapa kazi imewasaidia sana kupaa vileleni mwa nchi zenye uchumi bora na magunduzi mengi katika safari za kimafanikio, moja ya eneo ambalo wajapani wanalipatia uzito sana kwenye kazi ama maeneo ya kazi ni mahali ambapo bidhaa huzalishwa ama kazi hufanyika na kwa lugha yao ya kijapani eneo hilo huitwa gemba ,

Kama nchi pia na sisi , Tanzania chini ya utawala wa Rais wetu kipenzi John Magufuli tunaona anaendelea kuongeza gemba kwenye nchi kama maeneo ya kukuzia uchumi wa Taifa pamoja na hilo na jitihada zake nzuri za kukuza gemba ya chato kuchangia pato kwenye taifa kwakua na vituo vya utalii, uwanja wa ndege na juzi waziri wa utalii amesema kwa uzuri sana kuwa kutajengwa hotel ya nyota tatu, boti za kisasas, kivuko cha kisasa, mambo mazuri.

pamoja na hayo yote mazuri bado kumeibuka na maoni ya watanzania juu ya ukuzaji wa Gemba ya Chato , huenda tuulizane swali la kuwekana sawa kwani kuna ubaya gani Chato kuwa Gemba ya nchi ?
 
Chato itakuwa Jiji zuri sana,Mwalimu Nyerere,Mkapa,Mwinyi na JK sijui walikwama wapi kupafanya kwao kuwa Gemba!!!!
Ajaye ajifunze kwa huyu,naomba ajaye atokee kigoma ili tuone mwisho wa reli kuna mambo gani na fursa ambazo zimesahaulika!
 
Wajapani ni moja ya nchi ya watu wanaochapa kazi sana, na utamaduni wao huu wa kuchapa kazi imewasaidia sana kupaa vileleni mwa nchi zenye uchumi bora na magunduzi mengi katika safari za kimafanikio, moja ya eneo ambalo wajapani wanalipatia uzito sana kwenye kazi ama maeneo ya kazi ni mahali ambapo bidhaa huzalishwa ama kazi hufanyika na kwa lugha yao ya kijapani eneo hilo huitwa gemba ,

Kama nchi pia na sisi , Tanzania chini ya utawala wa Rais wetu kipenzi John Magufuli tunaona anaendelea kuongeza gemba kwenye nchi kama maeneo ya kukuzia uchumi wa Taifa pamoja na hilo na jitihada zake nzuri za kukuza gemba ya chato kuchangia pato kwenye taifa kwakua na vituo vya utalii, uwanja wa ndege na juzi waziri wa utalii amesema kwa uzuri sana kuwa kutajengwa hotel ya nyota tatu, boti za kisasas, kivuko cha kisasa, mambo mazuri.

pamoja na hayo yote mazuri bado kumeibuka na maoni ya watanzania juu ya ukuzaji wa Gemba ya Chato , huenda tuulizane swali la kuwekana sawa kwani kuna ubaya gani Chato kuwa Gemba ya nchi ?
Hiyo para ya mwisho nasema hivi,, "kamujaghe nokho!"
 
Niseme ukweli,katika nyakati ambazo nimeamini kabisa kabisa kwamba kweli watanzania tuna ujinga mkubwa na wanafiki kupindukia,Basi ni nyakati hizi za kuongozwa na hili zee,Tunaonesha kabisa ni wajinga kupita maelezo.
 
Back
Top Bottom