Sitasahau siku nilipotoa pesa kwa ATM kwa kutumia Tembocard yao nilitoa Rand 4000 ilikua kama Sh563000 kuanagalia statement nikakuta wamenikaya Sh73,000. Wakat NCBA wanakata kama Sh 22,000 hivi.
Wewe aidha hufuatilii kina hotokea katika vita hii ya uvamizi dhidi ya Irani ama una ushabiki tu waa upande mmoja. Mpaka leo US na Israel wameshaua raia wa Iran karibu 1500. Siku ya kwanza kabisa walianza kuua watoto wa shule 170. Alafu unaleta hutaji ni raia wangapi waluouwawa huko Israel!
Hapana ndugu, wako ma Ayatullah wengu hata nje ya Iran. Ayatullah ni daraja la kisomi mtu anafikia kwa kusoma kama vile mtu anafikia kua Daktari wa falsafa. Mfano kuna waliopo India, Lebano au Itaq
Kwa hio custom ya sasa itabidi uibomoweau utaitanua tu? Na vipi wazambia wataweza kuhudumia magari yaliopita hivo kwa mpigo?
Wazo la kujenga ukuta wa 50km achana nalo binafsi litaniumiza sana.
Zingatia ushauri wangu mimi Mpiga kura wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.