Recent content by Mibas

  1. Mibas

    Ni kwanini Iran imetia umakini kulipua raia wakati Marekani na Israel wanalenga zaidi silaha, viongozi, viwanda vya silaha, rada, meli za vita, n.k?

    Wewe aidha hufuatilii kina hotokea katika vita hii ya uvamizi dhidi ya Irani ama una ushabiki tu waa upande mmoja. Mpaka leo US na Israel wameshaua raia wa Iran karibu 1500. Siku ya kwanza kabisa walianza kuua watoto wa shule 170. Alafu unaleta hutaji ni raia wangapi waluouwawa huko Israel!
  2. Mibas

    Iran na Israel zinapigana bila kujali wala kuheshimu Ramadhani na Kwaresma. Mwafrika uliyeletewa dini, unafunga na kushinda njaa

    Israel na Marekani wanaishambulia Iran kwa hio haina budi kujilinda kwa kupigana. Israel sio taifa la kikristu kwa hio hawaiheshimu kwaresma.
  3. Mibas

    Kuhusu cheo cha Mufti na Ayatollah

    Hapana ndugu, wako ma Ayatullah wengu hata nje ya Iran. Ayatullah ni daraja la kisomi mtu anafikia kwa kusoma kama vile mtu anafikia kua Daktari wa falsafa. Mfano kuna waliopo India, Lebano au Itaq
  4. Mibas

    Ukishaweka fingerprint kwenye madai ya NSSF ni muda gani itachukua kupata mafao?

    Hela imeshaenda benki bro. Utapata msg anytime
  5. Mibas

    Naweza kulipwa hela yangu yote NSSF?

    Subiri kabla mwezi huu haujaisha utapata message ya benki. Hilo halitazuia kulipwa hela yako yote
  6. Mibas

    Wazoefu wa Biashara naombeni wazo la biashara

    Fanya kati ya nchi jirani na Tanzania hio 1M unapata kwa wiki.
  7. Mibas

    DOKEZO Mimi na Mke wangu tunatishiwa kuuawa kwa tuhuma za uongo

    Hao wanaokutuhumu wanasema ni kwa nini wanakuhusisha na tuhuma hizo?
  8. Mibas

    PreGE2025 Ndugai huna chako Jimbo la Kongwa, Hersi Said wa Yanga ni Mbunge ajae Kongwa

    Na akafa kwa Presha kweli, utabiri wako ai mchezo
  9. Mibas

    Nini kinaendelea nyuma ya huu ufaulu wa kushangaza wa kidato cha sita?

    Hao hata wakimaliza chuo hawaajiriki kimataifa uwezo wao hua ni mdogo sana.
  10. Mibas

    Maboresho ya Tunduma

    Kwa hio custom ya sasa itabidi uibomoweau utaitanua tu? Na vipi wazambia wataweza kuhudumia magari yaliopita hivo kwa mpigo? Wazo la kujenga ukuta wa 50km achana nalo binafsi litaniumiza sana. Zingatia ushauri wangu mimi Mpiga kura wako.
  11. Mibas

    Hatua kwa hatua, Jinsi ya kuiba nyama kwenye hot pot

    Aisee! Bota shule sifunguliwe
  12. Mibas

    KERO Kampuni ya Mabasi ya Shabbily line acheni tabia hii haraka, mtazika wengi kuelekea 2025

    Hio ni cha mtoto, Ingawa mabasi ya ABC ya Dr-Tunduma mara nyingi yanakuwaga na madereva wawili lakini kuna siku nimesafiri jioni kutoka Tunduma na gari Ina dereva mmoja ambaye alikua ametoka nayo Dar seku hio pekeake. Alafu mwamba yuko fresh hata hajali!
Back
Top Bottom