Maboresho ya Tunduma

Maboresho ya Tunduma

Tunduma ni border kubwa kwa Tanzania hili halina ubishi ila changamoto kubwa ya Tunduma iko-disorganized sana ni chaos hii hali haitakiwi kuendelea hata kidogo

Yafuatayo ni maboresho ya Tunduma ntayafanya nikiwa Rais wa Tanzania
  1. Barabara kuanzia vwawa mpaka tunduma zitajengwa Lane 8 (mbili za malori kwenda na mbili za magari ya kawaida kwenda, na mbili za malori kurudi na mbili za mabus ya kawaida
  2. Mji utapimwa kisasa
  3. Maji kwa matumizi ya binadamu yatakuwa ya uhakika na masafi tufahamu tunduma inachangamoto ya kipindupindu
  4. Kwenye custom kutakuwa na mageti 20 kwa mda mmoja yatakuwa yanahudumia magari ili kupunguza mda wa magari kusubiria kwenye foleni
  5. Mji utakuwa na zoning unavurugu sana
  6. Kutajengwa ukuta wa km 50 ili kudhibiti biashara za magendo ambazo zinaipotezea serikali mapato
  7. Kwenye maeneo ya mji kutapigwa paving ili kusiwe na kero ya vumbi ambayo ni moja ya changamoto kubwa ya Tunduma
Naamini haya mabadiliko yatakuwa na tija na faida kwa nchi

Wenzio wanabomoa kuta wewe unawaza kujenga kuta,polisi,uhamiaji na jeshi Wana kazi Gani mpaka uanze kujenga kuta,unarudi nyuma badala ya kwenda mbele
 
Wenzio wanabomoa kuta wewe unawaza kujenga kuta,polisi,uhamiaji na jeshi Wana kazi Gani mpaka uanze kujenga kuta,unarudi nyuma badala ya kwenda mbele
Ukuta utazuia magendo mengi sana ambayo yanaipotezea serikali mapato yake
 
Yaani very rough......

Ukitotokea Mbeya kama unaingia mjini ndo unaweza kuona jinsi mji ulivyokaa hovyo hovyo......

Sijui mipango miji wako wapi pale 😂😂😂
Ukweli ni kwamba viongozi waliopo madarakani ni kama wameshindwa kusimamia mipango miji
 
Kwenye custom kutakuwa na mageti 20 kwa mda mmoja yatakuwa yanahudumia magari ili kupunguza mda wa magari kusubiria kwenye foleni
Kwa hio custom ya sasa itabidi uibomoweau utaitanua tu? Na vipi wazambia wataweza kuhudumia magari yaliopita hivo kwa mpigo?
Wazo la kujenga ukuta wa 50km achana nalo binafsi litaniumiza sana.

Zingatia ushauri wangu mimi Mpiga kura wako.
 
Tunduma ni border kubwa kwa Tanzania hili halina ubishi ila changamoto kubwa ya Tunduma iko-disorganized sana ni chaos hii hali haitakiwi kuendelea hata kidogo

Yafuatayo ni maboresho ya Tunduma ntayafanya nikiwa Rais wa Tanzania
  1. Barabara kuanzia vwawa mpaka tunduma zitajengwa Lane 8 (mbili za malori kwenda na mbili za magari ya kawaida kwenda, na mbili za malori kurudi na mbili za mabus ya kawaida
  2. Mji utapimwa kisasa
  3. Maji kwa matumizi ya binadamu yatakuwa ya uhakika na masafi tufahamu tunduma inachangamoto ya kipindupindu
  4. Kwenye custom kutakuwa na mageti 20 kwa mda mmoja yatakuwa yanahudumia magari ili kupunguza mda wa magari kusubiria kwenye foleni
  5. Mji utakuwa na zoning unavurugu sana
  6. Kutajengwa ukuta wa km 50 ili kudhibiti biashara za magendo ambazo zinaipotezea serikali mapato
  7. Kwenye maeneo ya mji kutapigwa paving ili kusiwe na kero ya vumbi ambayo ni moja ya changamoto kubwa ya Tunduma
Naamini haya mabadiliko yatakuwa na tija na faida kwa nchi


Tunahitaji kuwa na uwekezaji wa maana
 
Kutajengwa ukuta wa km 50 (km 25 upande wa kaskazini na km 25 upañde wa kusini) ili kudhibiti biashara za magendo ambazo zinaipotezea serikali mapato
 
Back
Top Bottom