Tanzania ina utaratibu wa kutenga kiasi cha fedha kutoka kwenye mapato ya ndani ya halmashauri zote kwa ajili ya maendeleo ya vijana, wanawake na walemavu. Fedha hizo hutokana na asilimia 10% ya mapato ya ndani ya halmashauri, ambapo asilimia 4% hutengwa kwa vijana, asilimia 4% kwa wanawake na...
AI imeendelea kuthibitisha kuwa inaweza kuona picha, kufanya hesabu, na kadhalika. Mifumo mingi ya captchas hutegemea picha, hesabu, herufi na sauti kucheki kama mtumiaji ni bot au binadamu.
Kuna wasiwasi kuwa spammers nao wameanza kutengeneza bots zinazotumia AI kufanya utambuzi wa picha...
Kila biashara ina KSF zake boss kama zinapelea kimbia. Kwa sisi tuliopo kwenye biashara miaka mingi nikikaa nawewe wiki tu nishajua biashara gani utatoboa na gani utafeli.
Mfano kuna biashara ambazo pesa kubwa ndio KSF, kuna nyengine connection, kuna nyengine exposure, kuna nyengine bidii, etc...
Google wana experience ya muda mrefu ya translation kupitia google translate. Vita ya AI kama itapiganwa kati ya google na microsoft basi google mapema atashinda mana microsoft ni wahafidhina sana.
Sababu kuu ni kwamba google wana database kubwa zaidi ya personal data. Imagine emails zote...
Upo sahihi security ya simu inatofautiana. So kuna ambazo ni ngumu sana kudukua na ambazo nyepesi. Android nyingi zinakuwaga nyepesi kasoro baadhi ya samsung galaxy kama s20, etc. Iphone ngumu kiasi ila blackbery ngumu sana mana zina encrypt hadi audio signals.
Nikupe story moja. Kuna mu israel alitest kudukua simu kwa kutumia audio signals tu. Na research paper yake ipo mitandaoni. Alivuma sana.
Kuna technique inaitwa Audio Frequency-Shift Keying (A-FSK). Hii hata nokia ya tochi inahakiwa. Hii inaweza kutransmit audio, text na numeric data kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.