Dah umenikimbusha mbali nikiwa mtoto mdogo sana lakini nakumbuka wakati mama anaumwa siku hiyo katembelewa na ndugu yake kaja kumjulia hali
Mama alilia kwa uchungu ninakufa naacha watoto wangu wadogo watateseka aiseee
Mama alifariki after three years mdogo wangu akaniacha after 4 years baba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.