ASIE NA MAKUU
Member
- Aug 10, 2021
- 39
- 65
Nipo naagalia ITV kama kawaida yangu ili niweze kupata habari, ajabu hadi sasa ni dakika ya 14 hakuna habari bali ni matangazo tu na hakuna tangazo la kucheleweshwa kwa habari.
Je, Kulikoni? Au leo hakuna habari
Je, Kulikoni? Au leo hakuna habari