Movie kali ya kivita

Movie kali ya kivita

Tangu 2017 siangalii Sana movie,naomba orodha ya movies Kali za mtindo wa fury, private Ryan,salt,Jason Bourne..za mtindo huo,usiniwekee za mazombie
Nikizitaja kwa uchache tafuta hizi American Sniper (2014),Captain Phillips (2013),Shooter (2007) na A Bridge Too Far (1977).ninazo nyingi kwenye computer ila sipo mazingira ya home nikirudi next week nitaweka hapa mbili tatu.

Hiyo ya mwisho 1977 ni ya zamani ila ni kali sana haielezeki,kuongezea kama unapenda pia crime movies itafute hii The Town 2010 hutajutia muda wako wa kuiangalia.
 
Nikizitaja kwa uchache tafuta hizi American Sniper (2014),Captain Phillips (2013),Shooter (2007) na A Bridge Too Far (1977).ninazo nyingi kwenye computer ila sipo mazingira ya home nikirudi next week nitaweka hapa mbili tatu.

Hiyo ya mwisho 1977 ni ya zamani ila ni kali sana haielezeki,kuongezea kama unapenda pia crime movies itafute hii The Town 2010 hutajutia muda wako wa kuiangalia.
2017 kurudi nyuma hakuna movie Kali ilinipita,nataka za 2017 kuendelea
 
Kuna hii movie inaitwa hard way.

Kuna staring yule mweusi aliteleza kwenye kidimbwi chenye mamba akang'atwa mguu ila akiwaua wengi balaa
 

Attachments

  • download.jpg
    download.jpg
    12.6 KB · Views: 27
  • download-1.jpg
    download-1.jpg
    4.2 KB · Views: 26
Hii movie naipenda kishenzi Sasa kuna movie moja inafanana na hii wanapigana na wavet wamejificha kwenye mapango mlimani alafu jamaa wanawafuata huko huko humo ni balaa mvua inanyesha tope tupu kupanda mlima ni kasheshe sasa hio misumali inavyotembezwa hakuna kupoa mda wote zinatembea
Mkuu inaitwaje hiyo movie?
 
Mkuu inaitwaje hiyo movie?
All Quiet in the Western Front (2022) sio hii lakini yenyewe inaitwa Casualties of War (1989) itafute hio uone misumali humo km sijakosea lakini
 
Wanayopigana Vita kwenye tope naulizia ?
Jina nimesahau nabahatisha tu hio movie ya kwenye tope ni ya wavet wapo mlimani jamaa wapo chini kwa hio kule juu mlimani wameset mashine gun kuna angle km 3 hivi jamaa wanazimimina tu kupiga kila wakitaka kupanda juu, walikua wanagombea eneo kwa hio wamarekani walikua wanataka kuchukua hilo eneo wakapachike bendera yao sasa kupanda huo mlima wa tope wanapigwa misumali mpaka Mwishoni kabisa ndio wanawaweza Ila wanakufa kibao kwenye kuupanda huo mlima wa tope 🤪
 
Achana na utopolo kaangalie operation red sea ,Kuna ambush na snipers .
 
Jina nimesahau nabahatisha tu hio movie ya kwenye tope ni ya wavet wapo mlimani jamaa wapo chini kwa hio kule juu mlimani wameset mashine gun kuna angle km 3 hivi jamaa wanazimimina tu kupiga kila wakitaka kupanda juu, walikua wanagombea eneo kwa hio wamarekani walikua wanataka kuchukua hilo eneo wakapachike bendera yao sasa kupanda huo mlima wa tope wanapigwa misumali mpaka Mwishoni kabisa ndio wanawaweza Ila wanakufa kibao kwenye kuupanda huo mlima wa tope
Bila jina au mtu alieshiriki kujua, itakua ngumu kuipata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom