Nimekaa na kujiuliza kuhusiana na hili wimbi la watangaza nia katika nafasi mbali mbali. Nimekuja kupata majibu tatanishi kama kupunuka kwa wigo wa demokrasia, uchu wa madaraka, kutokujali uwezo na sifa za mtu kuwa kiongozi na pia kutumia haki ya kikatiba ya kuchaguliwa kuongoza.
Sababu ya...
Ukitaka kumficha mtanganyika kitu, kiweke kwenye maandishi! Inawezekana haka kamsemo kana ukweli.
Watu wanabisha wakati hawana taarifa coz hawasomi. Af still unajiita msomi elimu yenyewe tunasoma historia.
Kuna watu hawajaumbwa kukaa kimya na kujifunza akyamungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.