Recent content by mhimidinhothedon

  1. mhimidinhothedon

    Chidi benzi karudia matumizi ya madawa ya kulevya

    Ukitaka kujua uhondo wa ngoma ingia ucheze
  2. mhimidinhothedon

    Nabii Frank Kilawah acha kudanganya watu

    Mjanja mjanja afu anapiga pesa kinyama. Ukiwa na akili za kawaida tu utajua jamaa ni fekero
  3. mhimidinhothedon

    Joh Makini Hii Perfect Kombo Vipi?

    Sampling ya hatari, melody beats mmmh
  4. mhimidinhothedon

    Shilole aamua kumtafuta 'Ticha' wa Kumfundisha Kimombo

    [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  5. mhimidinhothedon

    Diamond platnumz aweka record mpya

    Music industry ni kiwanda pia
  6. mhimidinhothedon

    Aiyola - Harmonize, Kipaji kipya

    Nadhan aache kuiga kila kitu toka kwa diamond
  7. mhimidinhothedon

    Hivi kila mtu anaweza kuwakilisha wengine?

    Nimekaa na kujiuliza kuhusiana na hili wimbi la watangaza nia katika nafasi mbali mbali. Nimekuja kupata majibu tatanishi kama kupunuka kwa wigo wa demokrasia, uchu wa madaraka, kutokujali uwezo na sifa za mtu kuwa kiongozi na pia kutumia haki ya kikatiba ya kuchaguliwa kuongoza. Sababu ya...
  8. mhimidinhothedon

    Ni kutokujua au??

    Usanii mpk kwny vitu vya maana ndo madhara yake
  9. mhimidinhothedon

    Zurich-Switzerland: Fifa Ballon D'Or 2014 award

    Bado yupo yupo kwanza mpaka achukue tuzo nyingine kama hii labda anaweza akarudi
  10. mhimidinhothedon

    Hizi ndio Familia 13 za Illuminati zenye nguvu duniani Zilizopewa nafasi ya Kuumaliza Ulimwengu

    Ukitaka kumficha mtanganyika kitu, kiweke kwenye maandishi! Inawezekana haka kamsemo kana ukweli. Watu wanabisha wakati hawana taarifa coz hawasomi. Af still unajiita msomi elimu yenyewe tunasoma historia. Kuna watu hawajaumbwa kukaa kimya na kujifunza akyamungu
  11. mhimidinhothedon

    Zurich-Switzerland: Fifa Ballon D'Or 2014 award

    A deserved winner CR7 Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
  12. mhimidinhothedon

    Kuna tatizo lolote ktk picha hii?

    Naona kama wazee wa kazi wamepiga mbonji hivi Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
  13. mhimidinhothedon

    Maisha ya Osama kabla hajakamatwa yafichuliwa

    Mimi nadhani hoja ya mkuu ni kuwa administration inafanya kutengeneza public sympathy
Back
Top Bottom