Recent content by mhhhhh

  1. M

    Weka hapa nukuu kutoka kwa viongozi wa Vyama vya Upinzani

    Unaonekana kudandia mambo usiyoyajua kwa kukana hiyo kauli sio ya Lowasa, rudi kawaulize wenzio tena
  2. M

    Natafuta mtu wa kufanya nae biashara

    Weka mawasiliano hapa kila mmoja aone
  3. M

    Tanzania kukopa trilioni 2.1 kutekeleza bajeti ya 2016/17

    Ipo siku kila pande za sayari hii zitatambua hali mbaya ya watanzania maskini wanaokosa hata mlo mmoja kwa siku, wanaoshuhudia kupanda kwa bei za bidhaa muhimu, wanaokabiliwa na majanga kama matetemeko bila kujaliwa na serekali yao walioichagua, ukame, ukosefu wa madawa mahospitalini, wanafunzi...
  4. M

    Tufunzane kuhusu ununuzi wa Hisa

    Njooni mtupe darasa wajuvi wa mambo haya jamani
  5. M

    TANZIA: Anna Senkoro, mwanamke wa kwanza kugombea Urais nchini Tanzania(2005), afariki dunia

    Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi amen
  6. M

    Wakurugenzi TANESCO wasimamishwa kazi, mmoja ajiuzulu!

    Uko sahihi sana mkuu
  7. M

    Pride Tanzania Yazidi Kuimarika, Sasa Inatoa Mikopo Binafsi Hadi Milioni 50!.

    Hivi hawa jamaa wapo Dodoma na watoa mikopo kwa watu wa aina gani kivigezo? Tujuze tafadhali mkuu
  8. M

    Elimu bure ina uelekeo chanya?

    Mleta mada acha kutupotezea muda maana unauliza swali ambalo jipu lake unalo!
  9. M

    MTWARA: Kiwanda cha Dangote chasitisha uzalishaji wa saruji kutokana na gharama kuwa juu

    Tuweni na imani hamna kizuri kipatikanacho bila jasho na hili ndilo jasho tunalotoka kuelekea nchi ya viwanda
  10. M

    My little story with Makonda about leadership, kwa faida ya wasiokujua

    Kwa taarifa yako kilaza ni yule mwenye first class but hajui atumie muda na fursa zinazomzunguka kuboresha maisha yake na ya wanaomzunguka anaishia kupiga majungu na nonsense kama wewe. Idiot!
Back
Top Bottom