Haiingii akilini kuona viongozi Wa klabu kama simba kufanya udanganyifu Wa mikataba Na kushindwa kuitekeleza kisha kukimbilia kuzilaumu mamlaka kuwa zinawahujumu.
Wakati dunia nzima vilabu vinatafuta wachezaji wenye umri mdogo viongozi Wa klabu ya simba inampoteza mchezaji Ramadhani singano kwa...
Ni imani yangu Vyama vya Upinzani vitaungana pamoja kukishtaki chama cha mapinduzi CCM kuruhusu makada wake kuanza kampeni mapema kabla ya muda ikiwa ni uvunjaji Wa sheria ya uchaguzi.
Anakerwa nini yeye kama nani ni mwanachama tu asitubabaishe ameamua kuukumbatia ufisadi Na wizi hatutaki atuchafulie çhama kama anaona ccm INA kasoro watoke sio lazima wabaki ccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.