Recent content by mgosi wa ndima2016

  1. M

    Mashoga wanaojiuza kwenye mtandao sasa basi

    Kuna kitu kikubwa ambacho kipo ndani ya watu hawa. Hizo ni roho chafu na huwezi kuzishinda kwa jinsi ya kimwili. Tukumbuke shetani yupo na anafanya kazi kwa namna ya kutisha sana kipindi hiki. Huwezi kumshinda shetani kwa kutumia bunduki wala kisu. Kama mkiwakamata na kuwapeleka jela...
  2. M

    Askofu Gwajima apekuliwa na Polisi nyumbani kwake, bado anashikiliwa kituoni

    Ukifikiria mambo mengine yanavyoenda katika nchi ni bora nikae kimya maana ukiongea sana utajikuta unatukana. Kwahiyo mmetufanya watz wote hatuna akili eh mpaka mnatuletea sinema zenu za ajabu ajabu! Nyie watu vipi?? Eti umtaarifu mtu kwamba wewe unatuhumiwa kuwa drugs dealer halafu umuite...
  3. M

    Anayeamini kuna vita ya kupambana na madawa ya kulevya nampa pole

    Hivi director wa filamu hii wamemtoa wapi?
  4. M

    DODOMA: Mbowe azungumza na waandishi wa habari, asema Makonda hana mamlaka ya kumuita

    Na hili ndilo jambo linaloniumiza kichwa! Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa ana majukumu gani? Naomba wanasheria watusaidie hapo maana tokea juzi naumiza kichwa hapa
  5. M

    Kumbe yale majina mh. Makonda hakuyatoa mfukoni

    Halafu unajua hii nchi hata sielewi ilivyokaa...... Niliwahi kusikia kwamba Mkuu wa kaya mstaafu alishapewa listi ya hawa jamaa na sijajua walichukuliwa hatua gani! Kama Makonda anataka kufanya kazi vizuri, kwanini asingewasiliana na mzee ili ampatie japo majina 3 ya kuanzia kazi, na hayo...
  6. M

    Hongera RC Makonda kwa hili la madawa ya kulevya

    Mimi simuelewi!!! Anyway anapambana nayo katika mkoa wake tu? Vita hivi ni vya kimataifa, sio ya kimkoa wala nchi, inabidi ajipange upya.... Alitakiwa akae chini na waziri home affairs, tamisemi, foreign affairs, waitwe, IGP, DCI, AG na DPP wake wapange mbinu na mikakati. Sasa unasema huwataki...
  7. M

    Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, Rais na CCM ni wabaguzi sana umoja wetu uko mashakani

    Huyu sio msukuma wala hana hata damu ya usukuma ndani yake
  8. M

    Hongera RC Makonda kwa hili la madawa ya kulevya

    Wanampongeza kwa lipi? Kumkamata Wema Sepetu?
  9. M

    Tuseme: Makonda, Haya hapa Majina ya Wauzaji Madawa ya Kulevya wakubwa

    Hakuna ufanyaji kazi wa namna hii wandugu, hii ni kama show off! Kuna haja gani ya kuwaita hao watu kupitia media? Kwani hawafahamiki wanapoishi? Je hao walioitwa ni akina nani? Watuhumiwa wa uuzaji au ununuaji? Je kama tayari kuna kesi au upelelezi unaondelea juu ya hao watu au...
  10. M

    Angela Kairuki: Zaidi ya walimu 5000 waingia mitini

    Mwambie Dj abadili cd huo wimbo umeshachuja.
  11. M

    Serikali yatenga bil. 13.9 kujenga nyumba 1,157 za walimu

    Swali la nyongeza.... Mpaka kufikia leo ambapo nusu ya mwaka wa fedha imeshakata ni nyumba ngapi zimeshajengwa au zimeanza kujengwa? Na ni katika maeneo yapi?
Back
Top Bottom