Mbunge Mlinga: Vita ya madawa imeibuka tuu ila Makonda ana yake binafsi

Millard Ayo sasa anafanya extreme marketing na inakera! Anaweza akaweka matangaz yake mwishoni badala ya mwanzoni. Jeuri hii ya mafanikio ndiyo iliyofifisha mtandao wa michuzi. Pia yule dada anayesoma magazeti atolewe, anauza sura tu.

Mrejesho:

Kuna mbuzi katoliki walinipinga pale nilipokosoa matangazo kwenye clips za Millard Ayo, nashukuru amelifanyia kazi na sasa unaona matangazo wakati habari inaendelea-sio kabla. Amethibitisha kuwa yeye ni mfanyabiashara na hana ngozi nyeusi sana kama hawa ambao hawakuona shida ktk clips zake. Matangazo sio kitu kibaya hasa kikifanyika kwa ueledi. Mfano mzuri ni matangazo ya John wa Youtube-japo yako mwanzoni mwa clip lakini ni very creative kiasi kwamba unaweza ukasahau hata kile ulichotaka kukiona. Mimi namtakia kila la heri na mafanikio zaidi.

Naamini kuna walionipinga bila kujua wanapinga nini na sio wadau wa blog hiyo. Kwa siku mimi naitembelea zaidi ya mara 5, hivyo ni rahisi kugundua kama kuna jambo haliko sawa.

Sio kila anayekosoa ana chuki, ama kwa hakika yeye ni wa aina yake ktk blogging. Kuna siku unashtuka saa 10:30 alfajiri unakuta keshaposti magazeti ya siku hiyo! Ikumbukwe ishu ya kupost magazeti muasisi wake ni Mjengwa wa Mjengwa blog, ila sababu ya kufanya kazi kwa mazoea na mbinu za kibiashara, leo Millard yuko juu sana ktk hilo eneo. Kuhusu yule dada wa magazeti, awe real. Asisome magazeti kama ana act movie. Kwenye suala la habari, watu wanataka habari, sio 'vifungashio' vya habari. Hongera sana 'bloga wa nguvu'.
 
Millard Ayo sasa anafanya extreme marketing na inakera! Anaweza akaweka matangaz yake mwishoni badala ya mwanzoni. Jeuri hii ya mafanikio ndiyo iliyofifisha mtandao wa michuzi. Pia yule dada anayesoma magazeti atolewe, anauza sura tu.
Usimlaumu Dogo Millad mkuu!!!Tcra imewazuia kuwa na TVSim ambayo yeye Millad alikuwa na AYO TV.. Ni mabadilko ili uone
Video sasa kupitia Millad lazima us stream.
 
Usimlaumu Dogo Millad mkuu!!!Tcra imewazuia kuwa na TVSim ambayo yeye Millad alikuwa na AYO TV.. Ni mabadilko ili uone
Video sasa kupitia Millad lazima us stream.
Ok. But inakera. Unajisikiaje anakuambia unagalie hotuba ya rais, unafungua link kwa MB zako halafu kitu cha kwanza kuona ni matangazo ya GSM? Kuna namna nyingi ya kuweka matangazo yake, ikiwemo kuyaweka mwishoni mwa video kusudiwa na pia kuyaweka wakati wote kwenye video kama images. Ni kama anawarubuni watazamaji wake. Arrogance ya wenye mitandao ndio imefanya Michuzi akafulia(viewership), sasa blog ya michuzi imekuwa ya kawaida kutoka zama zile inaongoza kwa traffic Tanzania nzima.
 
Ok. But inakera. Unajisikiaje anakuambia unagalie hotuba ya rais, unafungua link kwa MB zako halafu kitu cha kwanza kuona ni matangazo ya GSM? Kuna namna nyingi ya kuweka matangazo yake, ikiwemo kuyaweka mwishoni mwa video kusudiwa na pia kuyaweka wakati wote kwenye video kama images. Ni kama anawarubuni watazamaji wake. Arrogance ya wenye mitandao ndio imefanya Michuzi akafulia(viewership), sasa blog ya michuzi imekuwa ya kawaida kutoka zama zile inaongoza kwa traffic Tanzania nzima.
Kwani ni lazima uangalie hilo tangazo? si una forward tu hiyo video
 


Pamoja na huyu bwana kuwa kama vile teja wa kiaina, ila pointi zote alizoongea kwenye clip hii zina mashiko! Upitishaji wa bajeti kishabiki, misururu ya VX kwenda kutoa hoja bungeni ambayo ingemhitaji mtu mmoja tu, kazi nyeti za serikali kupelekwa kwa watu binafsi kuchapwa, kuwatuhumu watu jinai hadharani live kwenye vyombo vya habari bila kuwa na ushahidi!!!
 
Back
Top Bottom