Recent content by Mgonga Like

  1. Mgonga Like

    Astra Projection

    JF enzi hizo ilikua ya moto sana. Nyuzi zilikua zinasisimua na mafunzo ya kutoshaa. Mkuu Eiyer kuna jamaa alikua anajita juve na wakuu wengine majina yamenitoka. Walifanya nisikauke umu. Ila now days...!!!!🚶
  2. Mgonga Like

    Ayatollah Khamenei akimbilia mafichoni

    Wafia dini kwenye moja na mbili. Israeli yenyewe hawatambui.
  3. Mgonga Like

    Netanyahu: Iran wamefanya Kosa la milele ni lazima walipe Gharama ya milele

    Mbona mnatumia nguvu kubwa kumtetea uyo kaburu wenu. Jana kala mkong'oto wala sio la kuficha.. msijifiche kwenye kimvul cha sijui hatujaumia sijui vile... kugongwa kugongwa tu
  4. Mgonga Like

    Video ya msanii Diamond Platnumz Comasava ni video kali sana

    Jealousy is an ugly disease
  5. Mgonga Like

    Tuliokuwa tunamkubali Trump tangu akiwa Rais 2016 - 2020

    Siasa inataka watu waongo waongo sana.. mwamba hapo tu ndio anafel. Shida watu pia hatupendi kuambiwa ukweli
  6. Mgonga Like

    Israel wana mizinga yenye uwezo wa kuifuta Gaza kwa dakika mbili tu

    Acha porojo kinawashinda nini mpaka sahizi... utumwa wa fikra utamuangamiza muafrika
  7. Mgonga Like

    Natafuta fundi machine ya kufua

    Brand gani mkuu? LG services centre 0685571581/0738471661 Samsung 0677124124/0718445418
  8. Mgonga Like

    Car4Sale Subaru Impreza ya moto kabisa

    Vijana hawaelewi kabisa🤣🤣
  9. Mgonga Like

    Car4Sale Subaru Impreza ya moto kabisa

    Crown sina bado boss wangu
  10. Mgonga Like

    Car4Sale Subaru Impreza ya moto kabisa

    Make:Subaru Impreza YOM:2013 Color:Navy blue Cc:1990 Mileage:69000kms Leather seats✅ Spoiler✅ Price :19.8 *📍location: Mwenge tower Call: 0684085052*
  11. Mgonga Like

    Nawaza ingekuwa Rais Samia ndio kasaini Mkataba wa SGR...

    Endelea kuwaza, kwenye mambo ya msingi mnaleta udini[emoji706]
Back
Top Bottom