Recent content by mgogoone

  1. mgogoone

    Anayefahamu mawakala wa kupeleka watu Uarabuni

    Huko sauzi sio wanakunyanyasa tu ila wanakuuwa.Hamjaona watu wanauliwa ovyo sio na makaburu ni hao waaAfrica wenzetu.Kila nchi inaubaguzi wa kiaina Hata hapa Bongo ubaguzi uko unyanyasaji uko utaenda kushitaki kituo gani cha polisi.
  2. mgogoone

    Anayefahamu mawakala wa kupeleka watu Uarabuni

    Mkuu hapo umenena.wako watu humu wao ni kejeli tu.MwenyeeEzMungu ndie anaye toa rizki.Ukienda sehemu yeyeto dunia utafanikiwa ili mradi mkweli,muaminifu na mchapa kazi. Nitakutafutia namba za simu za hao ma agent.Usife moyo kaka
  3. mgogoone

    Ambae aliwahi kukopeshwa pesa na hawa wanaojiita Islamic bank atoe ushuhuda hapa

    Mkuu Asante sanaaaaaa tu kwa hii video.Nimejifunza vitu vingi sana. MwenyeEzMungu akubariki sana.
  4. mgogoone

    Zanzibar na kesi za ulawiti kwa watoto

    Duh nilikuwa sijui San Francisco,Los Angeles huko USA,Ulaya,Australia nchi nyingi za Asia sikujuwa ni nchi za Kiislamu maana mpaka ndoa za jinsia mmoja zinafungwa kwenye makanisa na maaskofu mashoga.meya wa mji mmoja Indiana USA anagombea uraisi wa USA kaolewa na mwanamme mwenzake nadhani na...
  5. mgogoone

    RC Malima amtaka Mohamed enterprises kufungua kiwanda cha Mutex badala ya kukimbilia mambo makubwa!

    Mkuu hili Swali la kununua ndege kaulizwa mara kibao. Jibu lake:Ndege sio kitu muhimu kwake anaweza Kodi charter akihitaji. Kama Mo angekuwa mtu wa mbwe mbwe Nadhani angenunua.Halafu sio Kila Bilionea anamiliki ndege. Waren buffet $83B,Mark Zuckerberg $70B, Jeff bezos &97B hawa ndio 1% na ndege...
  6. mgogoone

    Dar ni mkoa pekee wenye RC Darasa la Saba

    Pamoja na kuwa STD 7 Unaona anavyo wanyesha watu kama wewe wenye PhDs na MaMBA yenu ya Harvard au Oxford au ile ya Dar inaitwaje Vile ? Wote. Mtalia sanaaaaaa tu.Ohh rudini mikoani maana hamna namna.
  7. mgogoone

    Zitto Kabwe alaumu Tanzania kutopiga kura kulaani vitendo vya unyama dhidi ya Rohingya huko Myanmar

    Sio Zitto pekee anachuki binafsi na huyu kiongozi wa awamu ya tano ila asilimia 75 ya Watanzania.
  8. mgogoone

    Zitto Kabwe alaumu Tanzania kutopiga kura kulaani vitendo vya unyama dhidi ya Rohingya huko Myanmar

    Kama hujui kitu Tafadhali usiongee pumba. Vikao vyote vya UN vya kulaani ugaidi au vita vya ndani Nchi nyingi pamoja na Tanzania vinapiga kura ya kulaani. Je unao takwimu kwamba nchi zilizo laani walifanya uchunguzi ambao wewe unaweza kuthibitisha? Wacheni Unafiki wakutofungamana na upande...
  9. mgogoone

    Zitto Kabwe alaumu Tanzania kutopiga kura kulaani vitendo vya unyama dhidi ya Rohingya huko Myanmar

    Point ya Zitto ni Tanzania haikulaani hicho kitendo kwa kura yake.Zitto hajakurupuka na tena hakuingiza Udini Maana watu wanao uliwa,kubakwa na kuchomewa ma kazi yao ni WAISLAMU.Kama wangekuwa wa upande ule ungeona kelele za UGAIDI.
  10. mgogoone

    Shocking revelation: wateja wakubwa wa sex toys ni wababa

    Hata ukichambia majani au makaratasi ukiwa shoga ni shoga tu.
  11. mgogoone

    Tanzania ya miaka ya 1980

    Bila ya kusahau jamaa wa mali ya sili Walikuwa wanakuja na migobole mijini hasa Dodoma na kuwapiga risasi mbwa wazuzuraji.
  12. mgogoone

    Rais Magufuli apiga marufuku kufanya biashara kwa kutumia fedha za kigeni

    Sema hivi UCHUMI WA TANZANIA ULIBOMOLEWA NA NKAPA.Sio ulijengwa. Nkapa na familia yake na wapambe wake walituibia na kutushikisha ukuta. Anayo haki ya kutuita Malofa na wapumbavu.Shenzi taipu
  13. mgogoone

    Tanzania ya miaka ya 1980

    Raisi wa Dareslam Mh Makonda anataka kuanzisha
Back
Top Bottom