Yaa brother, ulio yaongea ni kama vile nimekwambia uongee yalio moyoni... Yaani umeniongelea mimi broo,
Hata mimi wife wangu ni kama wako, hivyohivyo broo,.. Na sijawahi kumhisi na kwa jinsi nilivyo ishi nae, naweza sema hajawahi kunicheat, simuwazii hayo.. Kalelewa mazingira flani ya dini...